Russian oil revenue up 50% despite sanctions, IEA says

babu M

JF-Expert Member
Mar 4, 2010
5,221
3,167
Russia's oil revenues withstood a boycott from global companies and most countries following its invasion of Ukraine, the International Energy Agency (IEA) said on Thursday.

The Pairs-based agency said the Kremlin earned around $20bn (£16.4bn) each month in 2022 from combined sales of crude and products amounting to about 8 million barrels a day (bpd). Total oil export revenues were up 50% this year.

More: Russia oil revenue up 50% despite sanctions, IEA says
 
Hawa watu wa magharibi wafikirie upya vikwazo vyao, vinatuumiza tu sisi huku umatumbini ili hali hayo mambo yao hayatuhusu
 
Takwimu official: USA anaagiza 3% tu ya mafuta yote yanayotumika nchini mwao kutoka Urusi....sehemu kubwa ya mafuta ni kutoka hapo jirani Canada!
Sasa kama wewe sio mtu wa mihemko jiulize nini kilifanya mafuta yakapanda mara mbili ya bei ya awali wakati Canada hapo jirani hakuna vita Wala nini!

Tafakari Sana, hii Dunia inaendeshwa na kakundi kadogo ka majambazi (sio panya buku wetu akina Mkwere na Makamba)
 
Back
Top Bottom