jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,246
- 1,646
Hivi ni kwanini makundi ya kigaidi hayaishambulii Russia ukilinganisha na yanavozishambulia nchi za Ulaya German, France na hata Marekani
Russian ni moja ya nchi ambayo pia ina control au inashinikiza nchi za kiarabu kwana namna moja au nyingine kama zifanyavo nchi nyingine za Ulaya!Kitu ambacho makundi ya ugaidi yamekua yakikipinga.
Je kuna nini hapa?
Katika pita pita zangu nimeonana na hii picha
Russian ni moja ya nchi ambayo pia ina control au inashinikiza nchi za kiarabu kwana namna moja au nyingine kama zifanyavo nchi nyingine za Ulaya!Kitu ambacho makundi ya ugaidi yamekua yakikipinga.
Je kuna nini hapa?
Katika pita pita zangu nimeonana na hii picha