Rushwa ya ngono

Rushwa ya ngono

Ajifanye amemkubalia huyo askari, amrekodi wwakiwa wamekaa wanaongea, na wakati wanaongea mambo ya mapenzi asiache kuongelea kesi yake, jamaa atapatiaka kiulani sana, baadae binti amawambie amebadili mawazo hataki maswala ya mapenzi akomae na kesi, njagu akijidai kuleyta ubabe kuwa hafuatilii kesi binti amtumie clip yz maongezi yao na kumwambia anafungua kesi kkumuhusu yeye, huyo jamaa lazima atamnunulia binti lapotop mpya na risiti yenye jina lake asipate usumbufu.
 
Uyo nadhani atakuwa ni demu ako tu ..dada ako atakwambiaje kuwa katongozwa? Achaga uongo wee jamaa
 
Mkuu cha msingi Dada yako aende takukuru kuomba ushauri wa kina then watajua kuwa hiyo inaweza kuwa sehemu gani ya Kesi kuwa imekuwa kawaida kwa Dada zetu kupeleka matatizo yao sehemu husika na kuishia kutongozwa na wengine kwa hofu ya kukosa msaada wanajikuta wakitumika na bado msaada usipatikane, pole Sana mkuu
 
Vipi kama ana mapenzi ya dhati kwa mdogo wako na atakuja kumuoa?.. maana haijapangwa wapenzi watakutana sehemu fulani tu..
Naam ninyi ndyo mnatumia nafasi zenu vibaya kwa kisingizio cha mapenzi ya dhati.Hili linazidi kukua katika jamii yetu.
Kwa nini asisubiri kesi iishe?
 
Ajifanye amemkubalia huyo askari, amrekodi wwakiwa wamekaa wanaongea, na wakati wanaongea mambo ya mapenzi asiache kuongelea kesi yake, jamaa atapatiaka kiulani sana, baadae binti amawambie amebadili mawazo hataki maswala ya mapenzi akomae na kesi, njagu akijidai kuleyta ubabe kuwa hafuatilii kesi binti amtumie clip yz maongezi yao na kumwambia anafungua kesi kkumuhusu yeye, huyo jamaa lazima atamnunulia binti lapotop mpya na risiti yenye jina lake asipate usumbufu.
Aisee Askari sio mtu wa mchezo hasa akiona ugali unamwagika mtasikia tuu Mtu Fulani kavamiwa na majambazi na kuuawa, uchunguzi wa mauaji hayo yanachunguzwa...... Jalada linafungwa chap
 
Hiyo ni rushwa ya ngono ambayo wanaume wengi wanaitengeneza hili isionekane kama ni rushwa ya ngono.
Hili jambo linakuwa kwa kasi sana katika jamii yetu.
Kama anampenda kwa nini asisubiri hiyo kesi iishe?Siku hizi hawasemi moja kwa moja kuwa usiponipa sifanyi hivi au sikupi hiki wanajua mtu ataripoti ni rushwa ngono.
Hivyo anakujia na tongozo za maneno matamu matamu usione umetoa rushwa ya ngono.
 
Huyo dadako anawenge sasa siakatae tu kuna ulazima gani wakukuambia mambo ya aibu kama haya.
Kwa hiyo hata mkeo akitongozwa asikuambie maana ni mambo ya aibu?
 
Washirikishe TAKUKURU mkuu watakomesha tabia hiyo mbaya sana. Na watu wanaoandika Mambo ya upuuzi humu nawashangaa sana
Tumia huu ushauri.ila takukuru nao ni shida wanaweza kuvujisha siri kwa Afande
 
Pole sana fuata ushauri wa kuwashirikisha TAKURU endapo itaonekana huyo askari anatumia nafasi hiyo kupata penzi, lakini kwa hatua ya kwanza kuichukua ni huyo msichana/mwanamke kumkataa askari[\b]


Ila kwa mwandiko wako nahisi kama ni mpenzi wako
 
Back
Top Bottom