to be honest, inabidi uwe\ulikuwa mwanafunzi wa UDSM kuelewa haya mambo.... Wadada wanajilengesha sana....kutwa wanashinda kwenye ofisi za lecturers...mara hawajaelewa walichofundishwa.....mara anaulizia kama lecturer aliacha assignment yote hii ili mwalimu alainike amtongoze.......I pity all the male lecturers out there!
Wala usiwatete mkuu, na wao wanatakiwa kusimama kwenye nafasi zao regardless of the situation. Wawachimbe mkwara kama watarudia tena...makosa mawili hayafanyi kosa kutokuwa kosa....