permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 10,026
- 11,220
Usipomtafuna anakuita mwanaume wa dar!Hata Kama ni kweli wanajilengesha,kwani ni lazima umgonge? Mpotezee..fuata maadili ya kazi yako
Usipomtafuna anakuita mwanaume wa dar!Hata Kama ni kweli wanajilengesha,kwani ni lazima umgonge? Mpotezee..fuata maadili ya kazi yako
Basi pambana na hali yakoUsipomtafuna anakuita mwanaume wa dar!
Wengi wao huwataka! Kila anayejilengesha lazima ampitie? No mafuska tu haoHata Kama ni kweli wanajilengesha,kwani ni lazima umgonge? Mpotezee..fuata maadili ya kazi yako
Lkn kwa nn wanawake mnajidhalalisha???!!! Rushwa ya ngono haipo chuo kikuu tu bali hata ktk ofisi za umma baadhi ya wanawake wamepata nafasi kwa rushwa ya ngono.
Ni kupoteza resources bure. TAKUKURU ipi? Muulizeni Nassari! Kesi ya nyani imepelekwa kwa ngedere.Baadhi ya Wahadhiri kutoka Chuo Kikuu Dar wameanza kuhojiwa kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya kuomba rushwa ya ngono kutoka kwa Wanafunzi
Kamati Maalum iliyoundwa kuchunguza vitendo hivyo chuoni hapo ndio inayowahoji Wahadhiri hao ikiwa ni siku kadhaa baada ya mmoja wa Wahadhiri chuoni hapo kuripoti kuwa rushwa hiyo imekithiri
Inadaiwa kuwa baadhi ya Wahadhiri wao walikuwa wakifanya vitendo hivyo ndani ya ofisi zao za kazi, kinyume na maadili ya kazi na sheria za nchi
Wahadhiri wanaojihusisha na rushwa hiyo wanadaiwa kuta rushwa hiyo kwa miadi ya kuwasaidia Wanafunzi katika masuala mbalimbali ya kimasomo, hasa kwenye mitihani
Aidha, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa( TAKUKURU) imesema imepokea taarifa za kuwepo kwa rushwa ya ngono katika chuo hicho na kwamba tayari wameanza kufanyia kazi
Wasiwasahau walimu wa Economics wakike na wakiume wote huwa wanataka Rushwa ya ngono.Baadhi ya Wahadhiri kutoka Chuo Kikuu Dar wameanza kuhojiwa kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya kuomba rushwa ya ngono kutoka kwa Wanafunzi
Kamati Maalum iliyoundwa kuchunguza vitendo hivyo chuoni hapo ndio inayowahoji Wahadhiri hao ikiwa ni siku kadhaa baada ya mmoja wa Wahadhiri chuoni hapo kuripoti kuwa rushwa hiyo imekithiri
Inadaiwa kuwa baadhi ya Wahadhiri wao walikuwa wakifanya vitendo hivyo ndani ya ofisi zao za kazi, kinyume na maadili ya kazi na sheria za nchi
Wahadhiri wanaojihusisha na rushwa hiyo wanadaiwa kuta rushwa hiyo kwa miadi ya kuwasaidia Wanafunzi katika masuala mbalimbali ya kimasomo, hasa kwenye mitihani
Aidha, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa( TAKUKURU) imesema imepokea taarifa za kuwepo kwa rushwa ya ngono katika chuo hicho na kwamba tayari wameanza kufanyia kazi
Huwezi kumaliza tatizo dent anahitaji kufaulu ameshikwa pabaya unadhani atashindwa kutoa papuchi iyo kwa siku moja tuBaadhi ya Wahadhiri kutoka Chuo Kikuu Dar wameanza kuhojiwa kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya kuomba rushwa ya ngono kutoka kwa Wanafunzi
Kamati Maalum iliyoundwa kuchunguza vitendo hivyo chuoni hapo ndio inayowahoji Wahadhiri hao ikiwa ni siku kadhaa baada ya mmoja wa Wahadhiri chuoni hapo kuripoti kuwa rushwa hiyo imekithiri
Inadaiwa kuwa baadhi ya Wahadhiri wao walikuwa wakifanya vitendo hivyo ndani ya ofisi zao za kazi, kinyume na maadili ya kazi na sheria za nchi
Wahadhiri wanaojihusisha na rushwa hiyo wanadaiwa kuta rushwa hiyo kwa miadi ya kuwasaidia Wanafunzi katika masuala mbalimbali ya kimasomo, hasa kwenye mitihani
Aidha, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa( TAKUKURU) imesema imepokea taarifa za kuwepo kwa rushwa ya ngono katika chuo hicho na kwamba tayari wameanza kufanyia kazi
Tunafeli sna kwani hili jambo lilitakiwa kuendeshwa kipelelezi zaidi kwa kuwahoji wanafunzi kisirisiri na kuwekea mtego wa kuwakamata hao wahadhiri lakini sio kutaka kufanya siasa ambazo hazitatatua tatizo ,yaan ww unawahoji wahadhiri unafikiri watakiri makosa yao au kutajana?Baadhi ya Wahadhiri kutoka Chuo Kikuu Dar wameanza kuhojiwa kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya kuomba rushwa ya ngono kutoka kwa Wanafunzi
Kamati Maalum iliyoundwa kuchunguza vitendo hivyo chuoni hapo ndio inayowahoji Wahadhiri hao ikiwa ni siku kadhaa baada ya mmoja wa Wahadhiri chuoni hapo kuripoti kuwa rushwa hiyo imekithiri
Inadaiwa kuwa baadhi ya Wahadhiri wao walikuwa wakifanya vitendo hivyo ndani ya ofisi zao za kazi, kinyume na maadili ya kazi na sheria za nchi
Wahadhiri wanaojihusisha na rushwa hiyo wanadaiwa kuta rushwa hiyo kwa miadi ya kuwasaidia Wanafunzi katika masuala mbalimbali ya kimasomo, hasa kwenye mitihani
Aidha, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa( TAKUKURU) imesema imepokea taarifa za kuwepo kwa rushwa ya ngono katika chuo hicho na kwamba tayari wameanza kufanyia kazi
Hiyo imepitiswa mzee huni wanavyotangaza kuongezeka kwa mapato ya fineHivi hawa Takukuru huwa hawatumii usafiri wa magari?huwa Najiuliza yanayojiri humo mabarabarani na Wale wajomba hawayaoni?? Mbona wapo kimya?
Sasa mtakapoona Wanagraduate wanaume Tu na wanawake rate ya kudisco imeongezeka msijekuja mbio mbio mnaanza kusema wanao newaa!!Haya mambo bhana...wanawake wengi wana degree cha Kuvua Chupi HUO NDO UKWELIIII...ASILIMIA 90 WANAVUA CHUPII...
Takukuru iende vyuo Vikuu vyote na hata pia yenyewe ijichunguze maana nayo si imeajiri demu wazuri tu