Sawa mhadhiri, lakini mbona wahadhiri wa kike hawalazimishi ngono na wanafunzi wa kiume?
Mi siyo mhadhir,lkn nimepita chuo nliona watoto wa kike walivyokuwa wanajilegeza kwa wahadhir,cjui ndo kuwashwa
Sawa mhadhiri, lakini mbona wahadhiri wa kike hawalazimishi ngono na wanafunzi wa kiume?
Mi siyo mhadhir,lkn nimepita chuo nliona watoto wa kike walivyokuwa wanajilegeza kwa wahadhir,cjui ndo kuwashwa
wajilegeze wapi? wahadhiri ndio manyang'au wanatumia janja ya kalamu kuwananiliu watoto wa wenzao