Kwa nn usingekataaa kutoa rushwaa,kwani amekuomba au ww tu ukaona umpe ili usilipe faini, kua mzalendo lipa faini.Leo nilikuwa abiria nikielekea mlandizi. Kufika Kibaha eneo la loliondo kuna askari alitusimamisha. Dereva akamwambia konda wake, kamalizane naye. Akafika dogo kapewa mshiko tukaondoka. Kwanini alitusimamisha?