kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,234
Rushwa adui wa utu na haki ya mwanadamu. Ndungu wana JF, Tanzania tuliyo nayo leo, matatizo mengi ya kimsingi, chimbuko lake ni moja tu RUSHWA. Nchi inapoelekea ni pabaya mno. Kaburu , Mwiindi ndiyo wenye sauti ndani ya nchi hii. Raia na mzalendo wa nchi hii amebaki kuwa mnyanywaswaji.
Ombi langu kwenu wana JF, mnafikiri ni nini njia thabiti ya kuliponguza tatizo hili walau kwa asilimia 30%. Kuepo kwa Rushwa kuna didimiza utu, utashi wa wanachi wengi hasa wa kada ya chini.
Ombi langu kwenu wana JF, mnafikiri ni nini njia thabiti ya kuliponguza tatizo hili walau kwa asilimia 30%. Kuepo kwa Rushwa kuna didimiza utu, utashi wa wanachi wengi hasa wa kada ya chini.