Rushwa mpaka home!

Rushwa mpaka home!

ZENITH

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2012
Posts
1,057
Reaction score
973
TRAFIKI KWA MWANAE;Wewe mtoto mjinga kweli,kwanini kwenye mtihani wa Hisabati umepata marks chini ya Hamsini?.>>>> MTOTO WA TRAFIKI;Kausha dingi,hebu kamata buku tano yaishe basi!
 
TRAFIKI KWA MWANAE;Wewe mtoto mjinga kweli,kwanini kwenye mtihani wa Hisabati umepata marks chini ya Hamsini?.>>>> MTOTO WA TRAFIKI;Kausha dingi,hebu kamata buku tano yaishe basi!
Ama kweli, mtoto wa nyoka ni nyoka tu!
 
TRAFIKI KWA MWANAE;Wewe mtoto mjinga kweli,kwanini kwenye mtihani wa Hisabati umepata marks chini ya Hamsini?.>>>> MTOTO WA TRAFIKI;Kausha dingi,hebu kamata buku tano yaishe basi!

Mkuu zenith, nawewe kamata buku kumi uache kutuumbua.
 
TRAFIKI KWA MWANAE;Wewe mtoto mjinga kweli,kwanini kwenye mtihani wa Hisabati umepata marks chini ya Hamsini?.>>>> MTOTO WA TRAFIKI;Kausha dingi,hebu kamata buku tano yaishe basi!

ni kitu ambacho kamwe hakitaweza kutokea chini ya hili jua
 
Back
Top Bottom