Hao ni wapumbavu a.k.a wajinga waliokomaa, badala ya kuongelea ufumbuzi wanatajataja watu, mtu mmoja atakusaidia nn, a fallen creature! Mtu mwenye tamaa zake na udhaifu wake unaenda kumtaja kama vile unataja jina la Mungu, sio upumbavu ni nn huo?
Kutaja taja watu ndio kumewaponza mpaka leo hii, wote mbaowataja wanawafanya nn sasa hivi?
DAWA YA NCHI HII NI KUWEKA MAJINA YA WATU PEMBENI NA KUFUFUA MFUMO WA KUONGOZA NCHI, CHINA HAKUNA UPUUZI KWAKUWA HAKUNA MTU ANAWEZA KUKAA JUU YA MFUMO HAPA MTU AKIWA KIONGOZI MFUMO WOTE ANAUTAWALA, HAPO LAZIMA SHIDA HIZO ZIENDELEE, KILA MTU ATAKUJA NA UOVU WAKE , LAKINI MFUMO HUWA HAUNA DHAMBI NA WALA HAUTENDI DHAMBI,