Rushwa imetamalaki, uzembe umekithiri

Rushwa imetamalaki, uzembe umekithiri

Mtoa rushwa ni hatari zaidi kushinda mpokea rushwa kwa kuwa yeye ndiye anayemshawishi. mpokea rushwa ili asiadhibiwe katika uovu wake,na kama ana lazimishwa kutoa rushwa ili apewe huduma ambayo ni haki yake kupewa pasipo malipo yoyote kwa nini waendi kutoa taarifa TAKUKURU.

Watoa rushwa ndio wanaokwamisha juhudi za kupambana na rushwa,wasingekuwa wanatoa rushwa,mpokea rushwa asingekuwepo kwa kuwa angekosa rushwa ya kupokea kwa kuwa mtoa rushwa hayupo.

Wangekuwa wanalazimishwa kutoa rushwa wangekuwa wanakwenda kutoa taarifa kwenye vyombo husika na hii rushwa wanaolialia nayo kuwa wanadaiwa rushwa isingekuwepo.

Lakini wengi wao wanatoa rushwa kwa hiari yao wenyewe kwa sababu ya kujilinda na uharifu wao,au wanakuwa wamekataliwa kama CCM ambao ili waweze kuchaguliwa na ili upate cheo chochote ndani ya CCM ni lazima utoa rushwa kwa lugha ya heshima inaitwa takrima.
 
Huu ni ukweli mchungu mkuu thanks kwa kuusema. Unachukua vyanzo vyote vya mapato vya halmashauri na kuwaacha hohehahe what do you expect? Halafu kituko kingine kwa kuwa kazi zilizokuwa zinafanywa na Halmashauri zimechukuliwa na TRA nimewasikia TRA wametangaza nafasi za kazi mpya 400 lakini sijasikia Halmashauri zikipunguza watu. Hakuna kazi siku hizi halmashauri zaidi ya kupiga soga tu. Lets wait and see ila tunakoelekea si salama tuuachie muda utatupa majibu.
Ni kweli,halmashaur kwa sasa ukienda wanatia simanzi,just kusoma magazet na kuperuz mitandaoni

May Allah bless Me and You
 

Soma vizuri hoja yangu ndiyo uje na Lowassa.!Haijalishi mwizi yuko upande gani!Hata Mwenyezi Mungu anakusamehe pale unakiri maovu yako na kuacha uovu.Ukiiba unatakiwa ukiri na urudishe mali uliyokwapua.Hakuna Kiongozi yeyote hapa Tz aliyeiba akakiri ameiba na akarudisha.

In short hakuna wa afadhali.
 
Mtoa rushwa ni hatari zaidi kushinda mpokea rushwa kwa kuwa yeye ndiye anayemshawishi. mpokea rushwa ili asiadhibiwe katika uovu wake,na kama ana lazimishwa kutoa rushwa ili apewe huduma ambayo ni haki yake kupewa pasipo malipo yoyote kwa nini waendi kutoa taarifa TAKUKURU.

Watoa rushwa ndio wanaokwamisha juhudi za kupambana na rushwa,wasingekuwa wanatoa rushwa,mpokea rushwa asingekuwepo kwa kuwa angekosa rushwa ya kupokea kwa kuwa mtoa rushwa hayupo.

Wangekuwa wanalazimishwa kutoa rushwa wangekuwa wanakwenda kutoa taarifa kwenye vyombo husika na hii rushwa wanaolialia nayo kuwa wanadaiwa rushwa isingekuwepo.

Lakini wengi wao wanatoa rushwa kwa hiari yao wenyewe kwa sababu ya kujilinda na uharifu wao,au wanakuwa wamekataliwa kama CCM ambao ili waweze kuchaguliwa na ili upate cheo chochote ndani ya CCM ni lazima utoa rushwa kwa lugha ya heshima inaitwa takrima.
Sio kweli,mda mwingine MPOKEA RUSHWA anaweza kukushawishi UMPE RUSHWA.Mara kadhaa matukio yameripotiwa na baadaye wahusika wanaachwa,hata wabunge walishawah kukamatwa kwa Rushwa on the spot je walifungwa???


May Allah bless Me and You
 
Sasa hivi watumishi wa umma hawaja panda madaraja toka Magufuli aingie madarakani! Hawalipwi fedha za nauli Wala hawapati annual increments. Kifupi ni kwamba anaongeza deni la serikali ambalo lazima ilipe. Kitendo cha kuto kuwalipa wastaafu ni dhuruma kubwa sana na kwahakika anasababisha wastaafu wengi kufa mara tu baada ya kustaafu!
 
Moto wa kifuu, nia ni njema sana implementation ndio shida

Sent using Jamii Forums mobile app

Mpaka leo miaka miwili hajawahi kushtukiza kweney Wizara ya Barabara maana kila akipita maeneo anakumbuka Bilioni nane za Kivuko kibovu na zile deal zake za Nyumba za serikali na nyinginezo.

Mtani kumubuka nimesema SIFUKUI MAKABURI usinijaribu maana sijaribiwi
 
Mpaka leo miaka miwili hajawahi kushtukiza kweney Wizara ya Barabara maana kila akipita maeneo anakumbuka Bilioni nane za Kivuko kibovu na zile deal zake za Nyumba za serikali na nyinginezo.

Mtani kumubuka nimesema SIFUKUI MAKABURI usinijaribu maana sijaribiwi
Usisahau Bil 200 za wakandaras hewa ambazo CAG aliziripot kwenye reports zake awam ya 4

May Allah bless Me and You
 
Nimetoka kusikiliza taarifa ya habari inasema Tanzania tumefanikiwa kupata mkopo wa masharti nafuu kwa ajili ya ujenzi wa reli, sgr, mwanzo tuliambiwa tuna hela yetu wenyewe kuuhudumia mradi.

Hii inatoa picha kua serikali haina pesa, kujali watumishi, kuendeleza hayo maduka, kunahitaji pesa. Tukazane tuepushwe na kikombe hiki.
 
Ni kweli rushwa imetamalaki, hasa huko barabarani ambapo tunapambana na askari kila siku. Lakini kwa upande mwingine nidhamubya madereva imeongezeka, watu hawaendeshi reckless kama tulivyozoea. Nilipita bagamoyo road hadi msata, kuna tochi nyingi mno, gari kwa asilimia kubwa zinatii sheria za barabara.

Wakati mwingine kukwepa kutoa hizo 10k, 30k za fine, ni heri kutembea mwendo unaotakiwa mahala husika. Hata ajali kwa kiasi fulani zimepungua.

Kuna sekta kweli zimesahaulika, kuna sekta zinafuatiliwa sana. Nashauri elimu, afya na mahakama zitiliwe mkazo rushwa ipungue(haiwezi kuisha ofcoz), lakini pia maslahi ya wafanyakazi yaangaliwe.

Mifuko ya jamii ina ukiritimba wa hali ya juu sana, kuna issue last yr ilinichukua zaidi ya mwezi pale nssf.
 
Nimetoka kusikiliza taarifa ya habari inasema Tanzania tumefanikiwa kupata mkopo wa masharti nafuu kwa ajili ya ujenzi wa reli, sgr, mwanzo tuliambiwa tuna hela yetu wenyewe kuuhudumia mradi.

Hii inatoa picha kua serikali haina pesa, kujali watumishi, kuendeleza hayo maduka, kunahitaji pesa. Tukazane tuepushwe na kikombe hiki.
SRG mbona ilishasemwa kuwa ni mkopo mda mrefu sana, utakuwa hufuatilii habari weye.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
SRG mbona ilishasemwa kuwa ni mkopo mda mrefu sana, utakuwa hufuatilii habari weye.
Kuanza kusemwa kua ni mkopo ni baada ya Zuma kuja, Raisi akaomba asaidiwe ujenzi ila kabla ya ujio wa Zuma alikua akiunadi mradi kua utahudumiwa na pesa yetu wenyewe kwa kua pesa tunayo.
Leo ndiyo naisikia taarifa ya huo mkopo kupatikana.

Itakua ulianza kufuatilia habari ya reli siku Zuma anakuja au alipoondoka.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kupandishwa daraja si ndio wanataka kuanza au hukuisikia hii!? Nchi yetu ni kubwa na raia wengiii, kwa kila kitu kutendeka siku moja... ila hao wanaotoa rushwa ndio tatizo hilo... wanachangia kuliendeleza. Wananchi ni vyema wakaripoti matatizo wanayokumbana nayo ili ijulikane na hatua kuchukuliwa... tuisaidie serikali inapobidi
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Alafu unakuta wajinga wawili watatu wanasemaeti Heshima imerudi katika nchi yetu,ivi watu wengine wanaishi wapi tofauti na Tanzania yetu hii?Asee hositalini ndio kuna vituko kuliko sehemuzote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hospital sasa hivi sio sehemu salama kwa uhai wa ndugu zetu!dawa tuh ni shida...!sijui huo unafuu kwa wanyonge uko wapi?!
 
Hakuna unafuu wowote kwa watu wa hali ya chini na kati kama tu sukari inayotumika mpaka na Bibi yangu kule kijijini wakati Mkulu anaingia ilikuwa 1800tsh...Na sasa ni 2800....Hizi kukurukakara za kulipa na kukusanya makodi lukuki hizo pesa ziko na zinaenda wapi?
 
Tuliopo Huko Tunayaona Na Kuyaishi Hayo. Yaani Ni Mwendo Wa Kupiga Tu. Wakuu Wa Idara Ndio Mabingwa Wa Upigaji, Wakishirikiana Na Afisa Manunuzi. Yaani Nusu Ya Bajeti Ya Idara Inaenda Mifukoni. Kweli Hapa Kazi Tu!
 
Back
Top Bottom