Bundewe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 400
- 141
Mimi mwenyewe natamani hiyo list ibandikwe hapa jamvini ili watu tuandae magereza ya hawa waheshimiwa! Naimani hapa ndiyo itakuwa turning point ya rushwa kama spika atakuwa makini kutusaidia watanzania. Lakini akiendekeza uchama na ubabe wake pamoja na kutumia remote controller ya Lukuvi basi tutegemee hakuna jipya. lakini cha mhimu ni kujipanga kujenga hoja hadi hao wabunge watimuliwe na kuingizwa jela. May GOD help this time to provide a demo!!
Taarifa zinaonesha wawili kati yao ni wa cdm. Napendekeza chama kiwataje hao wawili ili kijisafishe na sisi wakereketwa tuondoe fikra au gueswork kuwa huenda ni Mnyika.....au Zitto......Selasini......nk.