wakuu naombeni mjuze hivi hizi hela na mali ambazo wageruman walizifukia njini zilikuwa na maana gani na zilikuwa za ina gani kwa mfano nasikia kulikuwa na moja inatwa rupire
nimeuliza hivi kwasababu nimepita sehemu nimekuta kundi la vijana wakichimba maandaki eti wanazitafuta hizo rupiier na moja wao alinitonya kuwa ukipata moja inadhamani ya bil3