Rungwe tuna wabunge bubu!

Duuuh, mkuu kweli wewe unaifahamu sana Rungwe. Hongera kwa hili....
 
🙂
Mkuu nafikiri siasa siku hizi ni pesa zaidi. Mfano mbunge wa Rungwe(Saul) ni mtu Tajiri, wa Busokelo huko naye si haba. Kingine we mwenyewe kuna siku ulisemaa umeacha kujihangaisha na matatizo ya Tanzania🙂, system sucks
Wala hujakosea mkuu, mimi siasa za Tanzania nimekataa kabisa kujuhusisha nazo. Hata kazi serikalini nako nilishaondoka kitambo sana. Tanzania ni nchi ngumu sana, sema naamini tutafika tu...
 
Wala hujakosea mkuu, mimi siasa za Tanzania nimekataa kabisa kujuhusisha nazo. Hata kazi serikalini nako nilishaondoka kitambo sana. Tanzania ni nchi ngumu sana, sema naamini tutafika tu...
You're damn right, mkuu! Siasa za Tanzania is a wastage of time!
 

Mkuu kama wameingia madarakani kwa kubebwa na vyombo vya dola watahoji nini, wao kazi yao ni kuunga mkono itakacho serekali kama sehemu ya kulipa fadhila.
 
Mie ni CCM lakini hawa wabunge ni jiwe la shingoni, linazamisha maendeleo ya Rungwe.
Mimi ninawachallenge, katika muhula wao wananchi wamepata nafuu gani katika kuwepo kwao?

Mkuu inaonekana kama umenasa kwenye uongo kwamba mbunge analeta maendeleo. Hakuna mbunge anayeleta maendeleo hilo ufahamu, sana sana anaenda kuomba serikali ilete maendeleo, na kama ni mtu wa kujipendekeza sio rahisi hata asikilizwe. Chagueni mpinzani kisha awe anaipaka serekali shombo, lazima wataleta maendeleo ili kumnyang'anya jimbo.
 
Baadhi ya MP ni ni shida pale CCM na makasuku tu hivyo basi bora ya hao effect yao ni ndogo. Japo wapuuzi ila upuuzi wao unasaidia kidogo. Kuna wengine wanauliza ndege iko wapi? Sasa hawa na wenyewe vipi ila laana iende kwa wote 🐜 CAG kwa maana wa***ge sana Bungeni
 
Ni kweli unenayo mkuu. kuanzisha SACCOS za wauza maziwa au walima ndizi, chai, parachichi na baadaye kuwa na viwanda vyenu huhitaji mbunge.
 
Kuponda ni moja ya njia ya kukumbushana tu

Mkuu soko la parachichi la uhakika linapatikana huko huko au mpaka tupeleke mikoa jirani
 
Poti, nilikuwa nyumbani Kyimbila ningejua ningekutafuta. Na kuhusu hoja yako, Ni wabunge au Ilani ya Chama chao chakavu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Malafyale nami nilikuwa nyumbani wiki2 zilizopita na nakuwa frustrated sana na miundombinu.
Barabara za mizunguko wilayani ili kuendeleza wananchi zimeachwa zilivyo toka enzi ya ukoloni.
 
Unajenga hoja na kuji side step kuelekea kule unako amini.
Nani kasema mbunge ndo analeta maendeleo?
Maendeleo ni matokeo ya uhamasishaji na kuipigia kelele serikai juu ya matatizo ya wananchi.

Ni ujinga kutegemea Sauli akajenge barabara za lami Rungwe, akini akipiga kelele bungeni, kwenye asasi tofauti, hata na waandishi wa habari tu, watu wana sikia na kuchukua hatua.

Pamoja na matatizo yake, Mbowe ameweza ku lobby mradi wa barabara ya lami 11km kule Machame.

Hapo sijui nini tusichoelewa, hasa wabunge wetu.
 
Nimekuita hivyo maana una akili mfu sana ,kwahiyo kama hiyo Barabara ni rough road tokea enzi za mkoloni iendelee tu kuwa rough road haya nitajie main road ya kukufikisha kandete unapotokea katumba,pia unataka nipande pikipiki toka katumba had mwakalel km 33 kweli upo serious na je unaijua bei ya pikipik katumba to mwakalel labda nikwambie tu nauli kwa piki pik ni elfu kumi na hiyo ni km 33 tu ,je ni wangapi wanaweza kumudu hiyo gharama?.Siku zote maendeleo ni miundombinu kwanza mengine yanajiset yenyew,haiwezekan kila cku wabebe gesi ya kyejo miaka nenda rudi washindwe kutujengea barabara ya maana hata kama sio ya rami ila wangetujengea hata ile ya makapi ya rami angalau tungeona unafuu.pia unadai maendeleo ni umeme na maji sawa sikatai lakin hivyo vitu vinawafaidisha kivipi watu wa busokelo bila kuwa na miundo mbinu iliyo mizur?Busokelo ipi unayosema ina maendeleo tuache kujidanganya kuwa tuna maendeleo ni kwel tunajitahid kwa swala la elimu maana wazaz wa kule waliowengi wanajituma kusomesha ila sasa watoto wakishasoma wanaenda kuendeleza mikoa mingine wanasahau kwao kabisa ,yaan MTU anaweza kuwa na mansion dar ila nenda kwao hadi aibu ,wanyakyusa tubadirike tuwe kama wachage tukumbuke kujenga kwetu na kuendeleza mji wetu hasa jimbo la busokelo ni hayo tu hujaelewa kaa pembeni ,.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu!
Kwa sasa hivi wimbo wa wananchi Rungwe uwe mmoja, BARABARA, barabara, barabara!

Mbunge asiyeuimba wimbo huu, tumchinjilie mbali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…