Rungwe -Tukuyu pazuri kuishi 100%

Eliud Bunju

JF-Expert Member
Nov 26, 2017
342
625
Eneo la rungwe ni linasifika kwa unafuu wa maisha na mzunguko mzuri wa pesa
hapa tanzania.

Tuangalie sifa zake :

-Rungwe ni sehem nzuri kwa kilimo mfano ndizi, viaz mahind,maharage njugu,karanga nk

-Kiukweli Rungwe biashara yoyote inalipa we anzisha tu chochote utaona mafanikio.

-Watu wake ni wakarimu sana ila hawapend dharau.
-Hali ya hewa ni nzuri muda wote kutokana na miti ya matunda na mazao ya kilimo eneo zima la hapo.

-Rungwe hakuna kunyimana misosi ukimtembelea mtu kwake unapewa kamzigo

-Usafiri upo wa kumwaga noah,coster pamoja na hiace.

-Huduma za afya zipo za kutosha

-Ukiwa mtumishi wa umma unaweza ukajisahau hata kujenga maana vyumba ni bei chee sana. Mfano mji wa kibiashara wa Kiwira nyumba nzima elfu 70 kwa mwezi.

-Nauli mpaka Mbeya mjini ni buku 3 gari zake dk 45 tu umeingia mjini zinapaa mwendokasi.

-Wadada wa hapo ni kitonga sana hawaogopi kutoa mzigo nadhan ni kwasababu ya baridi ya kule lakini ukimkuta mlokole inabidi uokoke kwanza then ukajitambulishe kwa wazazi na mahali utoe ndio utakula mzigo.

-Ni vizuri uwe umeoa maana ukimwi upo nje nje.
-Watumishi wa Serikali mfano walimu walioanza kazi kule hawatakagi kuhama hiyo ni kutokana na unafuu wa maisha ukiwa na elfu kumi ukiingia sokoni unarudi na kiloba cha mazaga zaga.
-Ni sehemu ambayo watu wake jioni wanapiga pamba kali lakini asubuhi unawakuta mashambani wanachezea udongo.
-Watu wake wapo smart sana wanajua kuvaa
-Watu wake wanapenda sana dini, elimu na kilimo.
-Kama unapenda pombe hapa ndio penyewe
-Kama umeolewa halafu umehamia Rungwe unashinda ndani tu hujishughulishi na chochote utakoma na maneno ya wamama wa kinyakyusa sifa ya mwanamke wanajua ni kupiga kazi kusaidia familia.
-Watu wake wamechangamka muda wote


Mwisho::,,,,, kupanga ni kuchagua.






Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mikoa fulani vijana wanashindana kunyoa viduku na kukimbiza vibodaboda vya matajiri ova wanapeleka damu ICU..
Wadada /wamama kazi yetu kuvaa madera ndan hakuna kitu...!hehee...!huku ukionekana unajituma tuma utanuniwa na hata unaweza wasipokee salamu yako😄😄! NAOTA TU MIE
 
Eneo la rungwe ni linasifika kwa unafuu wa maisha na mzunguko mxur wa pesa
hapa tanzania .....
Tuangalie sifa zake :

-rungwe ni sehem nzuri kwa kilimo mfano ndizi, viaz mahind,maharage njugu,karanga nk

-kiukweli rungwe biashara yoyote inalipa we anzisha tu chochote utaona mafanikio.

-watu wake ni wakalim sana ila hawapend dharau.
-hali ya hewa ni nzuri mda wote kutokana na miti ya matunda na mazao ya kilimo eneo zima la hapo.

-rungwe hakuna kunyimana misosi ukimtembelea mtu kwake unapewa kamzigo

-usafiri upo wa kumwaga noah,coster pamoja na hiace.

-huduma za afya zipo za kutosha

-ukiwa mtumish wa umma unaweza ukajisahau ata kujenga maana vyumba ni bei chee sana. Mfano mji wa kibiashara wa kiwira nyumba nzima ef 70 kwa mwez.

-naul mpaka mbeya mjin n buku 3 gari zake dk 45 tu umeingia mjin zinapaa mwendo kasi.

-wadada wa hapo ni kitonga sana awaogopi kutoa mzigo nadhan ni kwasbb ya baridi ya kule lakini ukimkuta mlokole inabid uokoke kwanza then ukajitambulishe kwa wazazi na mahali utoe ndio utakula mzigo.

-ni vizur uwe umeoa maana ukimwi upo nje nje.
-watumishi wa serikali mfano walimu walioanza kazi kule awatakagi kuhama io ni kutokana na unafuu wa maisha ukiwa na efu kumi ukiingia sokon unarudi na kiloba cha mazaga zaga.
-ni sehem ambayo watu wake jion wanapiga pamba kali lakin asubui unawakauta mashambani wanachezea udongo.
-watu wake wapo smart sana wanajua kuvaa
-watu wake wanapenda sana dini elimu na kilimo.
-kama unapenda pombe hapa ndio penyewe
-kama umeolewa alafu umehamia rungwe unashinda ndani tu ujishughulishi na chochote utakoma na maneno ya wamama wa kinyakyusa sifa ya mwanamke wanajua ni kupiga kazi kusaidia familia.
-watu wake wamechangamka mda wote


Mwisho::,,,,, kupanga ni kuchagua.






Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uoga wa maisha wewe.. Nenda Daslama ukapambane na changamoto akili ipanuke .. huko vijijini achia wazee
 
Eneo la rungwe ni linasifika kwa unafuu wa maisha na mzunguko mxur wa pesa
hapa tanzania .....
Tuangalie sifa zake :

-rungwe ni sehem nzuri kwa kilimo mfano ndizi, viaz mahind,maharage njugu,karanga nk

-kiukweli rungwe biashara yoyote inalipa we anzisha tu chochote utaona mafanikio.

-watu wake ni wakalim sana ila hawapend dharau.
-hali ya hewa ni nzuri mda wote kutokana na miti ya matunda na mazao ya kilimo eneo zima la hapo.

-rungwe hakuna kunyimana misosi ukimtembelea mtu kwake unapewa kamzigo

-usafiri upo wa kumwaga noah,coster pamoja na hiace.

-huduma za afya zipo za kutosha

-ukiwa mtumish wa umma unaweza ukajisahau ata kujenga maana vyumba ni bei chee sana. Mfano mji wa kibiashara wa kiwira nyumba nzima ef 70 kwa mwez.

-naul mpaka mbeya mjin n buku 3 gari zake dk 45 tu umeingia mjin zinapaa mwendo kasi.

-wadada wa hapo ni kitonga sana awaogopi kutoa mzigo nadhan ni kwasbb ya baridi ya kule lakini ukimkuta mlokole inabid uokoke kwanza then ukajitambulishe kwa wazazi na mahali utoe ndio utakula mzigo.

-ni vizur uwe umeoa maana ukimwi upo nje nje.
-watumishi wa serikali mfano walimu walioanza kazi kule awatakagi kuhama io ni kutokana na unafuu wa maisha ukiwa na efu kumi ukiingia sokon unarudi na kiloba cha mazaga zaga.
-ni sehem ambayo watu wake jion wanapiga pamba kali lakin asubui unawakauta mashambani wanachezea udongo.
-watu wake wapo smart sana wanajua kuvaa
-watu wake wanapenda sana dini elimu na kilimo.
-kama unapenda pombe hapa ndio penyewe
-kama umeolewa alafu umehamia rungwe unashinda ndani tu ujishughulishi na chochote utakoma na maneno ya wamama wa kinyakyusa sifa ya mwanamke wanajua ni kupiga kazi kusaidia familia.
-watu wake wamechangamka mda wote


Mwisho::,,,,, kupanga ni kuchagua.






Sent using Jamii Forums mobile app

Uko sahihi kwa asilimia 101.

Ila kwenye kujenga nyumba ni rahisi kwani watumia matofali ya kuchoma ambayo yanatokana na udongo mzuri wa mfinyanzi.

Halafu kwa mfano ukitaka kufanya biashara ya usafiri wawezapiga Tukuyu/Mbeya au Tukuyu.Kyela au wapiga ubebaji mizigo tena pengine hdi Igurusi.

Igurusi napo paliwahi tembelewa na mzungu zamani hivyo kaacha kizazi cha shombeshombe hapo.

Dah!! umenikumbusha mbali sana nina koloni langu hapo lina ila kitu ambacho kinahitajika.
 
umesahau hadi buku 2 kutoka tukuyu hadi mbeya mjini inaenda coster hawapendi dharau ya pesa mda mwingine wakitokea tky kwenda mby. mambo kule ni mazuri sana, mama zangu wapo huko mji wa kibiashara tukuyu...nikienda nabeba vitu utafikiri nimeweheka hadi nakosaga pa kuweka. mara niuziwe miambili, mara mia tano, yaani bei ambazo miji mingi sizikutagi kwa bidhaa pendwa
 
Uko sahihi kwa asilimia 101.

Ila kwenye kujenga nyumba ni rahisi kwani watumia matofali ya kuchoma ambayo yanatokana na udongo mzuri wa mfinyanzi.

Dah!! umenikumbusha mbali sana nina koloni langu hapo lina ila kitu ambacho kinahitajika.
Uko sahihi kwanza msingi unajengwa wa mawe na mawe kule ni yakuokota tu ukija kweny milango ndio mtelemko mafund weng miti ming ya mbao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umesahau hadi buku 2 kutoka tukuyu hadi mbeya mjini inaenda coster hawapendi dharau ya pesa mda mwingine wakitokea tky kwenda mby. mambo kule ni mazuri sana, mama zangu wapo huko mji wa kibiashara tukuyu...nikienda nabeba vitu utafikiri nimeweheka hadi nakosaga pa kuweka. mara niuziwe miambili, mara mia tano, yaani bei ambazo miji mingi sizikutagi kwa bidhaa pendwa
Yaan mtu ukitoka mjin unaona aibu zawad ya kuwapelekea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom