kyanaKyoMuhaya
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 1,952
- 937
katika maisha yangu niliapa mjeshi kuanzia magereza, taja mwenyewe hadi Jeiwi, kamwe hawataingia kwenye maisha yangu au mwanangu, LAKINI kwa uvumilivu wa mr. Prez Jah Kaya anavyotawala, nimejiuliza maswali mengi alienda jeshini kama kupita? Alipitia kweli yale mautamaduni yao? Mbona mvumilivu kuliko raia wa kawaida. Kama kuna wajeshi wa hivyo.....RUKSA binti kuchukua Mjeshi.
Aiseh! Duniani hatufanani na tutamkumbuka. Ngoja 2016.
Aiseh! Duniani hatufanani na tutamkumbuka. Ngoja 2016.