Rugemalira aibua mapya, anataka kumtaja mwizi wa fedha za Escrow

Rugemalira aibua mapya, anataka kumtaja mwizi wa fedha za Escrow

Naona kuna haja ya pande zote kushirikiana ili kumlinda huyu mzee kwa kuwa na taarifa muhimu kiasi hiki.

Vinginevyo yuko hatarini zaidi au kesi kupoteza mwelekeo.
 
Na kesi itaondolewa huku tukiambiwa kuwa DPP hana haja ya kuendelea nayo. Kupotezeana tu muda na kutiana hasara! Hakuna ufanisi hata kidogo.
Hapo Ruge ndo anapasubiri kwa sababu anayetaka KUMTAJA ni Kiazi KiKUBWA!. DPP: Sina interest na kesi hii. Ruge, kale salama fweza zako! Azawaizi twaweza sikia kuwa ANAUMWA SANA kapelekwa APOLLO!
Lakini si angemtaja tu wakati kesi ikiendelea? Sheria inasemaje enyi WASOMI? Kwamba mpaka aongee na DPP?
 
Kakosea yeye alivyopewa nafasi ya kuongea angeshusha pale pale aondoke akiwa amebwatuka tu sasa dpp atavuluga ushahidi atabadilisha mashtaka yawe ya kumiliki hisa za celnet badala ya esikolo
 
Kweli eenh!?

Ndio hivyo Mzee Kilewella mimi ni mdau wa humu nachangia ninapojisikia kivyangu na kushabikia kivyangu.. sipangiwi na mtu

Ila si unaona siasa humu zinaboa kiaina hamna changamoto haswa from upinzani.. ninapenda uongozi wa JPM

Ha ha haaaaa najua umeelewa sasa.
 
Nishaona baadhi ya viongozi wanajipiga vidole tayari kuhofia kutajwa. Huyu yanki inabidi alindwe la sivyo tutamsikia kazimwa na wahusika wa serikali.
 
Yeye angemtaja tu hadharani akimtaja sirini wanaweza kuyamaliza kimya kimya. Unaweza kusikia DPP kaamua kutoendelea na kesi dhidi ya Ruge na Singh na bahati mbaya huwa haulizwi
 
Kwanini amekaa kimya siku zote hizo pasipo kuweka wazi? Kwahiyo asingewekwa mahabusu wala asinge msema mwizi. Anahitaji ka adhabu ka kuukalia ukweli muda wote huo.
Kila kitu kina utaratibu na muda wake rasmi. Huwezi kuwasikia haja wakati tumboni hakujaingia kitu.
 
TAKUKURU ni nani? Serikali

DPP ni nani?Serikali

Mahakama ni nani? Serikali

Magereza ni nani?Serikali

Mlalamikaji ni nani? Serikali

Hivi hapa serikali akisema hana haja ya kuendelea na kesi inayoendeshwa na serikali maana haina mashiko kuna tatizo

Umefika wakati wa kuifinya serikali
 
Haya mzigo upo mezani nafikiri tuvute subira tutayajua mengi
 
Nchi hii Nyerere alituachia wote sasa HAO WASIOJULIKANA inakuwaje ndio wafaidi nchi hii pekeyao?
 
Yaani hapa sielewi ina maana yule tumbili aliyeamia ccm juzi kuunga mkono mpambanaji was hili hakujua kama huu mchezo ni fake au?
 
Kakosea yeye alivyopewa nafasi ya kuongea angeshusha pale pale aondoke akiwa amebwatuka tu sasa dpp atavuluga ushahidi atabadilisha mashtaka yawe ya kumiliki hisa za celnet badala ya esikolo
 
Back
Top Bottom