Hao wadogo mbona mm sijawaona jamaniView attachment 1037665Hakuna aliyetengwa. Ukiangalia vizuri huyu mkubwa anajitegemea na ana maamuzi fulani kuhusu msiba wa baba yake . Ila hao wadogo mpaka usimamizi wa hali ya juu toka kwa mama zao. Maana mashangazi na baba wadogo/wakubwa pia wanafamilia zao ila hapo akili zipo kwa ndugu yao aliyewaacha hivyo hawataweza kuangalia hao watoto wadogo huku wakifatilia shughuli za msiba.
Sent using Jamii Forums mobile app