kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,012
- 11,944
Wa kiwango cha kipumbavuUjinga mtupu.
Wa kiwango cha kipumbavuUjinga mtupu.
Fundi ambaye yuko msibani ameeleza kwamba ujenzi wa kaburi la Ruge Mutahaba umegharimu sh, 4,000,000 za kitanzania
Leo umeandika cha maana, sio kila siku unaandika porojoUjinga mtupu.
clouds bana kama kuna kitu wanajua ....ni kufanya promo / marketting......jambo lao lazima litakua la nchi nzima (thanx to the late ruge)...yani hyo fiesta ukiisikia inavyotangazwa na ukienda kuionaa....unaweza baki mdomo wazi!...we jiulize tuu clouds wameajiri watu wangapi...lakini ni ma elfu ya wa tz wana mrefer to jamaa as "boss ruge"....yani ukiangalia tv hapa juzi baada ya msiba...unaweza jukuta unalia unajiuliza ivi bila boss ruge mimi ningekua wapia aisee.....baadae akili zikikurudia ndio unasema "allah, ivi mimi kumbe ni mwalimu tuu washule ya msingi fulani , hata Ruge mwenywe nilikua simjui,,,shetani shidwaaa!"
Binafsi Ruge namfahamu kama mkurugenzi wa vipindi vya clouds,sifa yake kubwa labda ni kuanzisha fiesta na kuisimamia pamoja na hayo tumesikia vimaneno kutoka kwa sugu,jay dee na baadae diamond,sijajua alikua na wadhifa gani maana nimeona mazishi yake yamehudhuriwa na maraisi wote wawili,mawaziri wakiongozwa na waziri mkuu,mkuu wa mkoa wa dar es salaam,viongozi wa dini na kila aina ya public figure,kwa kumfahamu kwangu kudogo naona kama kawa overated,kwa wanaomfahamu vizuri naomba wanifumbue macho what am i missing about this guy.RIP RUGE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaburi la Watani zangu wahaya mengi hujengwa na mainjinia waliosajiliwa na bodi ya mainjinia msilinganishe na ya makabila mengine ambayo kibarua wa ujenzi yeyote mwenye mwiko wa ujenzi anajenga.Injinia anayejenga lazima kwao afanyiwe interview na maprofesa mainjinia toka vyuo vinavyoheshimikaSawa waHAYA kwa misifa japo yaeza kuwa kweli
Duh nshomile bana
Nadhani we ndo sababu ya Mimi kujiunga na jfmimi naona anastahili, kwasababu kuwa mkurugenzi na founder wa clouds media tu ni sababu tosha ya kuwa mtu mkubwa mwenye ushawishi,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaaaa na kweli shoga angu mweee sema mi siku hizi nimehama mjini unanipitajeeeee na huku jamvini si mkaaji sanaNipo mpendwa, dah imekuwa kitambo sana. Itabidi siku tuanzishe thread tukutane wambea wote tupeane ubuyu maana mida wote huu naamini kila mmoja kapu lake la ubuyu limejaa.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Fundi ambaye yuko msibani ameeleza kwamba ujenzi wa kaburi la Ruge Mutahaba umegharimu sh, 4,000,000 za kitanzania
Aliekuja kaondokaWazaramo tunasema "Acholile Kachola...!"
Ahsante sana.
Noted!i kana kwamba wanamapenzi mazito dhidi ya uyo jamaa
Unajua wenzetu wa nchi zilizoendelea walishaona ujinga kama huu ndiyo maana wakaweka mtu anayeitwa msemaji mkuu. Sasa hapa kwetu hawa waandishi uchwara wanavamia na kumhoji mtu yoyote na wahojiwa walivyo wajinga wanaongea hovyo.Kuna vitu vingine ni fedheha kuvitaja. Kwanza unafanya hivyo ili iweje? Shit
Watakuwa wametumia granite