kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,460
- 4,166
Wakuu
Kwa sisi ambao hatujaridhika na matokeo ya TRA tuliambiwa tukate rufaa kwa kutuma barua kwa wahusika kueleza sababu za kutoridhika na hayo matokeo yao ambayo kiuhalisia ni yamepikwa tu.
Je majibu ya rufaa zetu yanatoka lini?
Kwa sisi ambao hatujaridhika na matokeo ya TRA tuliambiwa tukate rufaa kwa kutuma barua kwa wahusika kueleza sababu za kutoridhika na hayo matokeo yao ambayo kiuhalisia ni yamepikwa tu.
Je majibu ya rufaa zetu yanatoka lini?