Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,884
- 32,282
wazazi wako kama ni watanzania na wewe ukazaliwa nje ya Tanzania hiyo haikupi direct citizenship ya Tanzania, kumbuka issue ya AZIZI PREMJI alivuliwa ubunge kwa sababu ya kutoukataa uraia wa sehemu aliyozaliwa mara baada ya kufikisha miaka 18 . ukizaliwa nchi nyingine na wazazi wako hata kama wote wawili ni watanzania utakuwa mtanzania mpaka utakapofikisha miaka 18. hapo utaitajika kuukana uraia wa nchi nyingine na kubakia mtanzania. mwanasheria wa uhamiaji anaelekea kuwa anatumiwa na CCM kwani swala hili liko wazi kabisa kwani mtu yeyote aliywzaliwa kenya miaka hiyo ya nyuma ni mkenya. utanzania wa SIYOI uliisha alipofikisha miaka 18 baada ya hapo alipaswa kuukana uraia wa kenya pamoja na kwamba hakuwahi ku claim uraia wa kenya lakini hakuitaji kufanya hivyo kwani kwa kuzaliwa kwake tu tayari ni mkenya kwahiyo hakupaswa hata ku claim uraia wa kenya. eti kwa kuwa hajawahi kujiita mkenya au kubeba passport ya kenya huko hakumaanishi kuwa uraia wake wa kenya ulikufa mpaka pale tu angekwenda mahakamni kuukana.
Mkuu ingekuwa vizuri kama ungeweka hizo sheria za uhamiaji ili tujadili tujue zimetungwa mwaka gani, kuliko kuongea bila data na facts za kutosha.