EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
TAARIFA KUHUSU RUFAA YA MBOWE NA MATIKO:
Wakili Msomi Peter Kibatala amesema rufaa ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko itasikilizwa kesho Machi 6, 2019 kuanzia saa 3 asubuhi na Jaji Sam Rumanyika Mahakama Kuu.
Mbowe na Matiko wanashikiliwa gerezani Segerea kwa zaidi ya miezi mitatu sasa baada ya Hakimu Mashauri wa Mahakama ya Kisutu kuwafutia dhamana visivyo halali ambapo muda mfupi baadae alipandishwa cheo kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.
Kesho tujitokeze tena mamia kwa maelfu kuionesha dunia kuwa DHULUMA haijawahi kuishinda HAKI.
#FreeMbowe
#FreeMatiko
I rest my case!
Remmy Cameroon
Sauti ya wasio na sauti
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakili Msomi Peter Kibatala amesema rufaa ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko itasikilizwa kesho Machi 6, 2019 kuanzia saa 3 asubuhi na Jaji Sam Rumanyika Mahakama Kuu.
Mbowe na Matiko wanashikiliwa gerezani Segerea kwa zaidi ya miezi mitatu sasa baada ya Hakimu Mashauri wa Mahakama ya Kisutu kuwafutia dhamana visivyo halali ambapo muda mfupi baadae alipandishwa cheo kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.
Kesho tujitokeze tena mamia kwa maelfu kuionesha dunia kuwa DHULUMA haijawahi kuishinda HAKI.
#FreeMbowe
#FreeMatiko
I rest my case!
Remmy Cameroon
Sauti ya wasio na sauti
Sent using Jamii Forums mobile app