CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Ni uamuzi mzuri kukata rufaa, LAKINI KWA MAJAJI WAPI. Kama ni Watukufu waheshimiwa Nsekela, Munuo, Kimaro, Rutakangwa na wengine ambao sijawataja hawa hukumu zao ni za haki kabisa. Just go and read their verdicts and how they address issues formulated. Hawa haki itatendeka!!! Hawa ndio nimesoma hukumu zao nyingi