ngulimi's son
Member
- May 9, 2011
- 46
- 16
Wasukuma naona taratiibu wanaamka, bado wanyamwezi na wagogo, hawa bado wapo kwenye usingizi wa pono!
Hizi kauli za kuhisi wasukuma walikuwa wamelalaa si sahihi mkuu. Nakumbuka uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi 1995, John Cheyo alishinda ubunge huko bariadi mkoani shinyanga wakati huo, wakati huohuo mkio mnayofikiri imeamka kama arusha na mbeya hawakuwa na mbunge hata mmoja wa upinzani. Na bado mpaka leo wasukuma hawa wana wabunge wengi zaidi wa upinzani kuliko sehemu nyingine yoyote Tanzania bara.