PostGE2025 RPC Safia Jongo: SERIKALI imetoa uhakika wa amani, ulinzi na usalama kwa wawekezaji Geita

PostGE2025 RPC Safia Jongo: SERIKALI imetoa uhakika wa amani, ulinzi na usalama kwa wawekezaji Geita

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
505
Reaction score
887
SERIKALI imetoa uhakika wa amani, ulinzi na usalama kwa wawekezaji wote ambao tayari wanafanya shughuli zao na wale wenye dhamira ya kufanya uwekezaji katika mkoa wa Geita.

Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani Geita imetoa kauli hiyo mara baada ya kufanya ziara ya kutembelea miradi mbalimbali ya umma na serikali wilayani Chato mkoani humo.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita, Safia Jongo amesema jeshi la polisi kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama vimejizatiti kuhakikisha hakuna tishio la usalama kwa wawekezaji.
 
Back
Top Bottom