Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 13,222
- 18,381
Kwa hiyo Mwalimu pia ndiye aliyeasisi hiyo hoja ya kutaka vyama vingine 'vifilie mbali?' usimtetee mpumbavu,usije na wewe ukaonekana ni mpumbavu.huyu hajashabikiaispokua kaunga mkono jambo alilofanya mwl.... kwa hiyo angesema anaunga mkono jambo la alilofanya mwl la kukomesha ukabila akasema liendelee na kudum ungelalamika pia?