RPC Liberatus Sabas na Kashfa ya Leopard Tours

RPC Liberatus Sabas na Kashfa ya Leopard Tours

Graduate anayeanza kazi basic salary ni 860,000...Huyu hata cheo kimoja hana...jinyonge tu

kwahiyo hao wanaokaa barabarani ni graduate wangekua wanalipwa laki 8 wasingekua wanakula ovyo rushwa mpka buku 2000......mimi nawajua kibao elimu yao ni shida kazi rushwa tu kuanzia saa 1 asubuhi mpka saa 9 wameshasepa
 
jeshi la police arusha ni majanga plus traffic kila kona mpka vichochoroni kukamata magari ili wajipatie rushwa......traffic anakuja n private car yke anapaki mahali anaanza kukamata magari.....hivi mshahara laki 2 wanaoliopwa police unaweza nunua gari n kujenga nyumba yko plus nyumba za wapangaji........rushwa arusha ni zaidi y kipindupindu
njoo dar uone balaa la trafiki
 
Hatuzungumzii usomi wala nini tunataka kujua askari polisi wa kawaida hana miaka mitano kazini, ana nyumba self, ana nyumba za wapangaji, ana magari ya abiria tunaita vifodi ana gari yake ya kuembelea je mshahara wake na mikopo vinatosheleza kuwa na vitu vyote hivi??? Kuna watumishi wanafanya kazi miaka 40 wanakuja kujenga kibanda na hela za mafao, tuwe serious kwenye kuchangia hii mada.

Mkuu kweli umenena hapo we jiulize mshahara wako na wao ujipime alfu usema ati mjini ni deal kweli kwa kumtafutia mtu makosa gari lako unaligharamia kila kitu yet anakutafutia makosa unajikuta umelipa malipo yote ya gari anakuuliza kwanini umebandika hizo stika kioo cha nyuma ? khaaa wakati tours cars nyingi zina stika nyuma maana kodi zimekuwa nyingi mpka gari kioo kinajaaa stika kweli?

Magari mabovu mengiii check vi haice vingi vibovu lakini havisimamishwi kabisaa wao siku hizi wametarget gari za watu binafsi tuuu,
 
Kama tatizo kubwa kwanini hakumchagua Mbunge mwingine aje awaletee mabadiliko?

Mpigieni tarumbeta Mbunge wa Arusha awakomboe huko bungeni...labda uchaguzi umenyoosha...eti?
 
Mkuu hii hesabu ya mshahara×10 ndo unapata kama mkopo umeitoa wapi mbona unatudanganya wkt utaratibu kwa watumishi wa serikali unafahamika,ninachofaham hapa nikuwa kwa anayechukuwa take home 480,000 ana uwezo wa kukopa hadi 10,000,000 kwa CRDB hii ya 400,000×10 inatoka wapi???
 
Kwakweli Polisi wa Arusha ni tatizo kubwa sana kama sio Tanzania vile. Kuna traffic wapo njia ya Singida kutokea Arusha maeneo ya Duka bovu ni shida sana wana Tochi. walinipiga tochi nikiwa kwenye 58 nikalipa hela wakaniandikia notification mpaka leo nafuatilia risiti ya serikali wananizungusha tu nadhani ile hela wameitafuna
 
Polisi wa Arusha ni wapiga deal wasiokuwa na wasiwasi!! Siku mirungi ikikamatwa ujue siku hyo ni zamu ya polisi kuuza
Unachoongea ni kweli tupu mimi baba yangu RIP alikua Polis arusha akikamata mirungi basi jion yake utaona watu nyumbani wanakuja kuibeba
Kesho utasikia harufu ya kuku nyumbani
 
Mtima nyongo dar nafuu ndg. Nimeendesha gar miaka nenda rudi but nimeshikwa na trafik mara moja tu nakiri nilikuwa na kosa nilipiga u turn pale ubungo. Arusha karibu kila siku kutwa marA tatu lazima upigwe mkono, wakikosa kosa wanaomba chai. Tutembee na thermos na bikombe labda
 
Hili la leopard sasa litatufanya tuamini kweli hawagusiki, tangu limeanza kulalamikiwa hakuna muhusika anaepita huku akawatembelee hao jamaa?
 
Ni kero kweli, utapigwa mkono ukiwa Na kosa umekwisha ukiwa salama unaulizwa unaniachaje??? Halafu kusimamisha Magari kwenye point Za ajabu Na hatari km kwenye kona ya kanisa kupanda Kaloleni toka mwenge ! Wanaeza hata kusababisha ajali. Muda mwingi wao ndio chanzo cha jam Zenye kupoteza muda.
 
Na sasa barabara ya kwenda Tengeru - USA inajengwa sasa watahamia vichochoroni mara wako Njia ya themi hill sikummoja nikawakuta njiro kwa msola hahahahaha

kazi nzuri hiii hulali njaaaa kabisaaaa unachukuwa pesa za mtu kwanguvu tena bila uwoga. Fani zao tizama kitabu ni cha mwaka 2011 unatozewa fini siku niliona kwa mtu nikamwambia usilipe kitabu cha mwaka gani hata ukienda mahakamani watakushinda records zao za miaka 4 nyuma unakutoza fani mwaka 2016
hii ni kali ya mwaka.
sasa hivi polisi wa Arusha kuanzia juzi wemeweka kituo pale Anex kwenye barabara inayotoka mianzini na nyingine inaingia stand ndogo,ukipita pale kunamsongamano wa magari kupita kiasi hivi hawa polisi hawaoni kama wanasumbua watu na magari?
 
jipu la matrafik lina pwita vibaya - utumbuzi wa dharura unatakiwa
 
Jeshi la Polisi Arusha ni majanga plus traffic kila kona mpaka vichochoroni kukamata magari ili wajipatie rushwa.

Traffic anakuja na private car yake anapaki mahali anaanza kukamata magari.

Hivi mshahara laki 2 wanaolipwa polisi unaweza nunua gari na kujenga nyumba yako plus nyumba za wapangaji.

Rushwa Arusha ni zaidi ya kipindupindu.
Mshahara wa polisi sio laki mbili tafadhali , au unaongelea mwaka gani?
 
Back
Top Bottom