Elishilia Kaaya, Walikutupa kura za maoni arumeru mashariki last year, leo unakubali tena wakutumie??
Sijaonaga mmeru wa hivi. Shtuka kama kina Sarakikya.
Huyo Kaaya atafutwe aseme alikuwa na sababu gani za msingi asituletee ujinga na itikadi zake za ccm
Leo ni habari moto moto tu jeiefu raha
Imekuwa poa kweli leo maana wiki nzima JF nilikuwa naipata kwa kwiki kiasi nikitaka kufungua uzi inakuja BAD 400 inatokea blunk page but kuanzia leo naona mambo poa na habari moto moto kwa kwenda mbele
​