lm317
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 451
- 44
Hapana!Ktk vita hakuna kavita kadogo, unapiga constantly kuanzia mwanzo.
wametumia Masaburi kuamua hivyo!
Hapana!Ktk vita hakuna kavita kadogo, unapiga constantly kuanzia mwanzo.
<br />CCM,hizo nguvu mnazotaka kuzitumia zinaashiria nini? mnatumia hadi silaha ya mwisho kwa uchaguzi mdogo? hayo yangefanywa na upinzani hatutashangaa.CCM kama mmefikia hatua ya kumtumia Rais wetu mstaafu,ni dalili za kufilisika kimtaji wa watu wanaokubalika ktk chama.Hiyo ni dharau kwa Mh mkapa na ni kumshushis hadhi,hakika hastahili kufanya kazi za upiga debe,Mkapa ni mtu wa kitaifa na kimataifa hivi sasa,anategemewa na UN ktk mambo mengi ya msingi kimataifa,Si wa majukumu ya kitoto kama ya kumnadi mgombea ubunge.Walau kumnadi raisi wa nchi.Ni dhihaka na aibu kwake kama kweli atakubali kufanya ukonda,na TAFADHALI ASIJIDHALILISHE,NA ASIKUBALILISHWA,SI STAHILI YAKE.Kama ccm wanadhani hawatashinda bila mkapa,ni aibu.