Hongera kwa kuamua kujiunga na kutumia jf kama mahali pa kutoa habari na maoni yake kama haki yako ya kikatiba!
Humu jf, viongozi wengi wa cdm, ccm na cuf ni member. Kwahiyo wakujipanga, wakuchukua tahadhari na wakujilinda, wote wamekusoma. Hope wataifanyia kazi hii thread!