Sir R
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 2,175
- 298
Magazeti ya Rostam sasa yanafanya kazi ya kukosoa serikali na ccm. Ni vita ya mitandao ya CCM. Magazeti hayo hajawahi kuandika mazuri kuhusu mageuzi ya uongozi ndani ya chama cha mapinduzi.
CCM imebaki na jambo leo, habarileo na uhuru.
Nadhani ni muda mzuri wa kuiangusha CCM.
CCM imebaki na jambo leo, habarileo na uhuru.
Nadhani ni muda mzuri wa kuiangusha CCM.