Musoma Yetu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2016
- 2,629
- 2,288
The "king master" ndugu yetu huyo aliechana na siasa uchwara za Tanzania nadhani atakuwa amebobea yale mahesabu ya kiuchumi na mahesabu" economic forecast and modelling"
Maana naona alifanya hesabu sahihi kwa wakati sahihi.
Mi metamani tu aje atusalimiepo huku Tanzania!
Maana naona alifanya hesabu sahihi kwa wakati sahihi.
Mi metamani tu aje atusalimiepo huku Tanzania!