Rostam Aziz: Slaa ni mpotoshaji

Radhia Sweety

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2011
Posts
4,433
Reaction score
1,772
Amtaka Slaa kujitokeza hadharani kuthibitisha kauli zake. Akanusha kuisaidia CHADEMA. Asema Slaa ana historia ya uzushi.

Chanzo: Channel 10

======================


 
Kama Rostam Aziz kaongea..... ngoja niishie hapaaa
 
Zama zao zinapita wasitumie fursa kuwa watakimbilia nje na kuwa wakimbiza na kupewa ajira huko,watuache na Tanzania yetu kwa wale hata nchi jirani hatujafika ili tulete maendeleo yetu.Jamani hata vyama ni muda sasa zaidi ya miaka 60 wawe ni washauri tu wasipewe nafasi za uongozi.
 
Alhamdulilah lillah, Leo Rostam yuko na Chadema na Dr.Slaa yuko against Chadema. Haya sio Maigizo ni Siasa za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Shikamoo Zitto uliesema tuwe tunaweka akiba ya Maneno na Tusiamini Wanasiasa hata kama ni wa Upinzani
 
Dah! yan mwaka huu, lakin je air time ya jana ni kweli amefadhiliwa na ccm au yey mwenyew kwa uchungu alionao kwa taifa?
 
Alhamdulilah lillah, Leo Rostam yuko na Chadema na Dr.Slaa yuko against Chadema. Haya sio Maigizo ni Siasa za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Shikamoo Zitto uliesema tuwe tunaweka akiba ya Maneno na Tusiamini Wanasiasa hata kama ni wa Upinzani

Wapi kasema yuko Chadema?
 
Alhamdulilah lillah, Leo Rostam yuko na Chadema na Dr.Slaa yuko against Chadema. Haya sio Maigizo ni Siasa za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Shikamoo Zitto uliesema tuwe tunaweka akiba ya Maneno na Tusiamini Wanasiasa hata kama ni wa Upinzani

Nani kakwambia Rostam yupo chadema acha uwongo,kaa na huyo yuda wako Zitto usitafute kick
 
Nakuomba chonde chonde Mtukufu Rais Mtarajiwa, Mh. Lowasa Edward Ngoyani, endelea kuwachoma hao ma-ccm, kwao umekuwa mwiba mkali. Wewe endelea na kampeni yako mkisaidiana na Sumaye, mpaka kieleweke.
Ninyi ndio mmekuwa ukombozi wa kweli kwa Mtanzania. Kura ni zenu na ushindi ni wenu. Mwaka huu Ikulu ipate mpsngsji mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…