Mkuu hapa umenena vyema.Rostam na mitambo
yake ya kufua umeme kama Symbion amesababisha bei ya umeme kuwa kubwa na
kutesa watanzania wengi kwa miaka mingi...
Mo Dewji ameingiza mbolea feki nchini mwaka huu na kutesa maelfu ya
wakulima waliozalisha kidogo na sasa wanakabiliana na janga la njaa
kali. Pia huyu jamaa kwa miaka mingi anaingiza nchini vyakula vilivyooza
na kuwauzia watanzania huku serikali inaangalia. Mwaka Jana alikula
dili na Pinda akaingiza mchele usio na ladha na kuvuruga soko la mchele
mpaka Leo wakulima wanatabika.
Kwangu Mimi tajiri Ni Bakhresa Tu kwa vile kila siku natumia bidhaa
zake, mara nyingine bila kupenda lakini sio hao wengine majizi. Its
hightime kwa TRA kuweka wazi rekodi zao za ulipaji kodi tulinganishe na
utajiri wao maana karibu wote hao hela walizotuibia ndio zimewaweka
hapo. CCM oyeeeeee
Mbona mimi simo. !!!? Nasubili mwakani.
Katika orodha hiyo bona wa darisalaam tu? Wale mabilionea wetu wa Arusha Vipi?
wewe acha uchokozi na watu wa Arusha. Arusha kuna mabilionea wengi kuliko mji wowote EACBilionea Arusha wana pesa za kuzungusha round ya bia.
Rostam na mitambo yake ya kufua umeme kama Symbion amesababisha bei ya umeme kuwa kubwa na kutesa watanzania wengi kwa miaka mingi...
Mo Dewji ameingiza mbolea feki nchini mwaka huu na kutesa maelfu ya wakulima waliozalisha kidogo na sasa wanakabiliana na janga la njaa kali. Pia huyu jamaa kwa miaka mingi anaingiza nchini vyakula vilivyooza na kuwauzia watanzania huku serikali inaangalia. Mwaka Jana alikula dili na Pinda akaingiza mchele usio na ladha na kuvuruga soko la mchele mpaka Leo wakulima wanatabika.
Kwangu Mimi tajiri Ni Bakhresa Tu kwa vile kila siku natumia bidhaa zake, mara nyingine bila kupenda lakini sio hao wengine majizi. Its hightime kwa TRA kuweka wazi rekodi zao za ulipaji kodi tulinganishe na utajiri wao maana karibu wote hao hela walizotuibia ndio zimewaweka hapo. CCM oyeeeeee
sasa utawekwaje wakat mlo wa siku yenyew unakushinda!!
symbion ni ya akina hillal clinton sio rostam.Rostam na mitambo yake ya kufua umeme kama Symbion amesababisha bei ya umeme kuwa kubwa na kutesa watanzania wengi kwa miaka mingi...
Mo Dewji ameingiza mbolea feki nchini mwaka huu na kutesa maelfu ya wakulima waliozalisha kidogo na sasa wanakabiliana na janga la njaa kali. Pia huyu jamaa kwa miaka mingi anaingiza nchini vyakula vilivyooza na kuwauzia watanzania huku serikali inaangalia. Mwaka Jana alikula dili na Pinda akaingiza mchele usio na ladha na kuvuruga soko la mchele mpaka Leo wakulima wanatabika.
Kwangu Mimi tajiri Ni Bakhresa Tu kwa vile kila siku natumia bidhaa zake, mara nyingine bila kupenda lakini sio hao wengine majizi. Its hightime kwa TRA kuweka wazi rekodi zao za ulipaji kodi tulinganishe na utajiri wao maana karibu wote hao hela walizotuibia ndio zimewaweka hapo. CCM oyeeeeee
Katika orodha hiyo bona wa darisalaam tu? Wale mabilionea wetu wa Arusha Vipi?
AR kuna matajiri? Hamna kitu hapo mambo yote Dar tu! Mipango yote Dar huko wa AR wameathiriwa sana na maandamano yasiyo na tija hata watalii wamepungua sana!
Na ukifunguliwa uwanja wa ndege wa Serengeti ndio balaa kwani Mwanza ndio itapaa
Rostam na mitambo yake ya kufua umeme kama Symbion amesababisha bei ya umeme kuwa kubwa na kutesa watanzania wengi kwa miaka mingi...
Mo Dewji ameingiza mbolea feki nchini mwaka huu na kutesa maelfu ya wakulima waliozalisha kidogo na sasa wanakabiliana na janga la njaa kali. Pia huyu jamaa kwa miaka mingi anaingiza nchini vyakula vilivyooza na kuwauzia watanzania huku serikali inaangalia. Mwaka Jana alikula dili na Pinda akaingiza mchele usio na ladha na kuvuruga soko la mchele mpaka Leo wakulima wanatabika.
Kwangu Mimi tajiri Ni Bakhresa Tu kwa vile kila siku natumia bidhaa zake, mara nyingine bila kupenda lakini sio hao wengine majizi. Its hightime kwa TRA kuweka wazi rekodi zao za ulipaji kodi tulinganishe na utajiri wao maana karibu wote hao hela walizotuibia ndio zimewaweka hapo. CCM oyeeeeee
Mwenye data please,Mengi,Mo,Bakhresa wote tunajua biashara zao(angalao chache) haya huyu NO 1,biashara zake ni zipi??????kumbuka alishakanusha kuwa RICHMOND sio yake sasa yake ni ipi mpaka kuwa number 1??
Katika orodha hiyo bona wa darisalaam tu? Wale mabilionea wetu wa Arusha Vipi?