ndio hapo sasa. Huyu ndio kazi yake kulia lia, mara o wanamwaga pesa jimboni kwangu mara o wanataka waniuwe, acha tabia ya kujizushia mambo kutafuta huruma za wananchi, kama unaushahidi c upeleke mahakamani au muwahi yeye kabla haja kuwahi, MWAKYEMBE ACHA KULIALIA