T tizo1 JF-Expert Member Joined Mar 9, 2011 Posts 861 Reaction score 159 Jul 14, 2011 #1 Rostam ameamua kuliacha wazi jimbo la igunga,na pia kujitoa katika baraza kuu ka NEC.Mpaka sasa Igunga hawana mbunge.
Rostam ameamua kuliacha wazi jimbo la igunga,na pia kujitoa katika baraza kuu ka NEC.Mpaka sasa Igunga hawana mbunge.
COMPLICATOR2011 JF-Expert Member Joined Jul 13, 2011 Posts 253 Reaction score 35 Jul 14, 2011 #2 Sasa namshauri aende mahakamani kukanusha shutuma zote alizotuhumiwa vinginevyo itakuwa usanii?
lukindo JF-Expert Member Joined Mar 20, 2010 Posts 8,470 Reaction score 9,053 Jul 14, 2011 #3 sio kwamba yeye alikuwa ndiye gamba? sasa mbona sielewi pale gambalinapojivua gamba!!? tueleweshane wana jf
sio kwamba yeye alikuwa ndiye gamba? sasa mbona sielewi pale gambalinapojivua gamba!!? tueleweshane wana jf
MUREFU JF-Expert Member Joined Oct 1, 2010 Posts 1,331 Reaction score 353 Jul 14, 2011 #4 safi sana ila itakuwa vzur zaid achukuliwe hatua asiishie hapo mana haitosh na hcho co kigezo
I Isso Member Joined Jul 2, 2011 Posts 5 Reaction score 0 Jul 14, 2011 #5 ni kweli kajivua gamba lakini fedha zetu je? hii ni sawa na mtu aliye funika kinyes bila kukizoa tunategemea zaidi ya kujuvua gamba
ni kweli kajivua gamba lakini fedha zetu je? hii ni sawa na mtu aliye funika kinyes bila kukizoa tunategemea zaidi ya kujuvua gamba
Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 137,444 Reaction score 271,969 Aug 21, 2025 #6 tizo1 said: Rostam ameamua kuliacha wazi jimbo la igunga,na pia kujitoa katika baraza kuu ka NEC.Mpaka sasa Igunga hawana mbunge. Click to expand... Kumekucha
tizo1 said: Rostam ameamua kuliacha wazi jimbo la igunga,na pia kujitoa katika baraza kuu ka NEC.Mpaka sasa Igunga hawana mbunge. Click to expand... Kumekucha