PreGE2025 Rosemary Mayemba anaiua CHADEMA Njombe

PreGE2025 Rosemary Mayemba anaiua CHADEMA Njombe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mzito Kabwela

Platinum Member
Joined
Nov 28, 2009
Posts
18,904
Reaction score
7,746
Rosemary Mayemba ni mjumbe wa kamati kuu ya Chadema. Alikuwa Mwenyekiti wa Mkoa wa Njombe kabla uchaguzi haujafutwa ambapo yeye Rose anadai uchaguzi ulikuwa na figisu. Sio lengo langu kujadili hizo figisu isipokuwa nataka watu wajue hali halisi ilivyo hapa Njombe.

Rosemary Mayemba kama mjumbe wa kamati kuu aliyeshiriki vikao vya retreat kule Bagamoyo ambako walikalishwa na kuonywa juu ya mgawanyiko mkubwa uliopo Chadema na kuombwa wafikapo kwenye maeneo yao wakaunganishe chama, Rose amekuwa kama aliyeota mapembe. Anawakejeli wote ambao hawakumuunga mkono Lissu, anawatukana na kuwabagua.

Rose ameshakuwa mjumbe wa kamati kuu. Kwa kutumwa au kujituma mwenyewe, bado anataka kugombea tena uenyekiti wa mkoa. Katika hali ya sasa ambapo Chama hakiko katika utengamano, Rose alitakiwa kuwaachia watu wengine wagombee nafasi hiyo huku msisitizo wake uwe ni mapendano ndani ya chama.

Rose anaongoza genge la watu wachache kushughulikia wenzake. Tangu ameteuliwa kuwa mjumbe wa kamati kuu amegeuka kuwa "first lady" wa Chadema hapa Njombe.
Hashauriki, mbishi, mjuaji na kuona kama chama mkoa wa Njombe ni mali yake binafsi.

Natoa angalizo na wito kwa viongozi wa chadema. Hiki chama mnakiua. Na hamna uwezo wowote wa kukihuisha kuwa cha moto kama kilivyokuwa.
 
Rosemary Mayemba ni mjumbe wa kamati kuu ya Chadema. Alikuwa Mwenyekiti wa Mkoa wa Njombe kabla uchaguzi haujafutwa ambapo yeye Rose anadai uchaguzi ulikuwa na figisu. Sio lengo langu kujadili hizo figisu isipokuwa nataka watu wajue hali halisi ilivyo hapa Njombe.

Rosemary Mayemba kama mjumbe wa kamati kuu aliyeshiriki vikao vya retreat kule Bagamoyo ambako walikalishwa na kuonywa juu ya mgawanyiko mkubwa uliopo Chadema na kuombwa wafikapo kwenye maeneo yao wakaunganishe chama, Rose amekuwa kama aliyeota mapembe. Anawakejeli wote ambao hawakumuunga mkono Lissu, anawatukana na kuwabagua.

Rose ameshakuwa mjumbe wa kamati kuu. Kwa kutumwa au kujituma mwenyewe, bado anataka kugombea tena uenyekiti wa mkoa. Katika hali ya sasa ambapo Chama hakiko katika utengamano, Rose alitakiwa kuwaachia watu wengine wagombee nafasi hiyo huku msisitizo wake uwe ni mapendano ndani ya chama.

Rose anaongoza genge la watu wachache kushughulikia wenzake. Tangu ameteuliwa kuwa mjumbe wa kamati kuu amegeuka kuwa "first lady" wa Chadema hapa Njombe.
Hashauriki, mbishi, mjuaji na kuona kama chama mkoa wa Njombe ni mali yake binafsi.

Natoa angalizo na wito kwa viongozi wa chadema. Hiki chama mnakiua. Na hamna uwezo wowote wa kukihuisha kuwa cha moto kama kilivyokuwa.
Sasa Chiba na ile kitambi si awezi Shughuli kwa huyu first lady??

Ila chibaa kwa kuokota mizoga
 
Rosemary Mayemba ni mjumbe wa kamati kuu ya Chadema. Alikuwa Mwenyekiti wa Mkoa wa Njombe kabla uchaguzi haujafutwa ambapo yeye Rose anadai uchaguzi ulikuwa na figisu. Sio lengo langu kujadili hizo figisu isipokuwa nataka watu wajue hali halisi ilivyo hapa Njombe.

Rosemary Mayemba kama mjumbe wa kamati kuu aliyeshiriki vikao vya retreat kule Bagamoyo ambako walikalishwa na kuonywa juu ya mgawanyiko mkubwa uliopo Chadema na kuombwa wafikapo kwenye maeneo yao wakaunganishe chama, Rose amekuwa kama aliyeota mapembe. Anawakejeli wote ambao hawakumuunga mkono Lissu, anawatukana na kuwabagua.

Rose ameshakuwa mjumbe wa kamati kuu. Kwa kutumwa au kujituma mwenyewe, bado anataka kugombea tena uenyekiti wa mkoa. Katika hali ya sasa ambapo Chama hakiko katika utengamano, Rose alitakiwa kuwaachia watu wengine wagombee nafasi hiyo huku msisitizo wake uwe ni mapendano ndani ya chama.

Rose anaongoza genge la watu wachache kushughulikia wenzake. Tangu ameteuliwa kuwa mjumbe wa kamati kuu amegeuka kuwa "first lady" wa Chadema hapa Njombe.
Hashauriki, mbishi, mjuaji na kuona kama chama mkoa wa Njombe ni mali yake binafsi.

Natoa angalizo na wito kwa viongozi wa chadema. Hiki chama mnakiua. Na hamna uwezo wowote wa kukihuisha kuwa cha moto kama kilivyokuwa.
hawezi kuiua chadema, hawezi as long a watu wako nyuma ya chadema. Ni matter ya kujaza nafasi walizoziachia
 
Sasa Chiba na ile kitambi si awezi Shughuli kwa huyu first lady??

Ila chibaa kwa kuokota mizoga
Kumbe hawezi!!?
Ulimjaribu ndio ukaona hilo!???
Kama Lissu ameweza kupita na wewe, basi atakuwa yupo shallow sana kwenye taste, yaani mpaka wewe jamvi la CCM!!???
 
Rosemary Mayemba ni mjumbe wa kamati kuu ya Chadema. Alikuwa Mwenyekiti wa Mkoa wa Njombe kabla uchaguzi haujafutwa ambapo yeye Rose anadai uchaguzi ulikuwa na figisu. Sio lengo langu kujadili hizo figisu isipokuwa nataka watu wajue hali halisi ilivyo hapa Njombe.

Rosemary Mayemba kama mjumbe wa kamati kuu aliyeshiriki vikao vya retreat kule Bagamoyo ambako walikalishwa na kuonywa juu ya mgawanyiko mkubwa uliopo Chadema na kuombwa wafikapo kwenye maeneo yao wakaunganishe chama, Rose amekuwa kama aliyeota mapembe. Anawakejeli wote ambao hawakumuunga mkono Lissu, anawatukana na kuwabagua.

Rose ameshakuwa mjumbe wa kamati kuu. Kwa kutumwa au kujituma mwenyewe, bado anataka kugombea tena uenyekiti wa mkoa. Katika hali ya sasa ambapo Chama hakiko katika utengamano, Rose alitakiwa kuwaachia watu wengine wagombee nafasi hiyo huku msisitizo wake uwe ni mapendano ndani ya chama.

Rose anaongoza genge la watu wachache kushughulikia wenzake. Tangu ameteuliwa kuwa mjumbe wa kamati kuu amegeuka kuwa "first lady" wa Chadema hapa Njombe.
Hashauriki, mbishi, mjuaji na kuona kama chama mkoa wa Njombe ni mali yake binafsi.

Natoa angalizo na wito kwa viongozi wa chadema. Hiki chama mnakiua. Na hamna uwezo wowote wa kukihuisha kuwa cha moto kama kilivyokuwa.
Wacha aiuwe tu matapeli wamepewa madaraka
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Natoa angalizo na wito kwa viongozi wa chadema. Hiki chama mnakiua. Na hamna uwezo wowote wa kukihuisha kuwa cha moto kama kilivyokuwa.
Ni wazi hata wewe unayo matatizo yako kwa kusoma tu uliyo andika hapa. Tena unaweza kuwa tatizo kubwa zaidi kuliko hata huyo Mapembe unayemzungumzia hapa.
 
Mara mbili au tatu uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mkoa umeharibiwa na Singo Benson Kigaila - Team Mbowe wakishirikiana na CCM aliyekuwa anatumwa kuhakikisha huyu dada hawi Mwenyekiti CHADEMA mkoa...

Sasa hako ka-mungnu kenu kaitwako FAM si tena incharge wa chama na kwa maana hiyo uhuni na ujinga wenu wa ki-CCM automatic umekwenda na maji, umerudi huko huko CCM kwenu...

Eti nyie kina Mzito Kabwela mkishirikiana na CCM mkimtaka Sigrada Mligo awe Mwenyekiti huku 99% ya wajumbe wakimtaka Rosemary Mayemba...

Sikia bwana. CHADEMA iko imara kama chuma sio Njombe tu bali ni all over the country and nje ya nchi..

Rosemary Mayemba atagombea na atakuwa Mwenyekiti wa CHADEMA bila kujali nyie chawa wa CCM mnataka au hamtaki...!!

#NoReformsNoElection
#FreeTunduLissu now
 
Tunaifanyia kazi hoja yako
Ina maana chadema hakina mawasiliano ya moja kwa moja kutoka mashinani,Wilayani,Mkoa na Taifa kwa wakati? Ni mpaka taarifa zipatikane kama hapa jamiiforums?
 
Kumbe hawezi!!?
Ulimjaribu ndio ukaona hilo!???
Kama Lissu ameweza kupita na wewe, basi atakuwa yupo shallow sana kwenye taste, yaani mpaka wewe jamvi la CCM!!???
Huyo choko alisomewa kisomo na ndugu wa Marehemu Thadei Ole Mushi sasa hivi amekuwa shoga kabisa amewekwa kinyumba na Mwarabu mmoja huko Masaki.
 
Ina maana chadema hakina mawasiliano ya moja kwa moja kutoka mashinani,Wilayani,Mkoa na Taifa kwa wakati? Ni mpaka taarifa zipatikane kama hapa jamiiforums?
Inategemea, maana kama wanaotoa taarifa hawafichui haya tutatumia vyanzo vingine
 
Back
Top Bottom