GE2025 Rose Rwakatale achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Mlimba, Morogoro

GE2025 Rose Rwakatale achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Mlimba, Morogoro

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Mwenyekiti wa Umoja wa Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk.Kellen-Rose Rwakatale amechukua rasmi fomu ya kugombea ubunge jimbo la Mlimba mkoani Morogoro.

Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu hiyo, Rwakatale amesema anayo dhamira ya dhati kulitumikia jimbo hilo la Mlimba kwani anazijua changamoto zake.

Rwakatale ambaye pia ni Mkurugenzi wa Shule za St Mary’s ndani na nje ya Tanzania amerejea maneno ya wazee ambao pia walimuita hivi karibuni kumtia moyo agombee amesema hana mashaka kwani amechukua fomu na kura zitaamua vema.

1751290126913.png
 
Masikini hawezi shinda ndani ya CCM ngazi ya Ubunge
Huyo ana uhakika wa kushinda kwa 90% kwa hii CCM, labda fitna za kukatwa majina zifanyike (kitu ambacho sikioni kikitokea). Kama ni kuhonga mwanamama ameonga sana na kama kujiandaa basi amejiandaa vya kutosha mnoo.

Huyo mama, pesa aliyomwaga kuhonga wanaCCM haijapata kutokea katika huu uchaguzi. Kama kuna mwanaCCM wa jimbo la Mlimba hajatafuna hela za huyo mama basi atakuwa na bahati mbaya sana.

Huyo mama ni mafia kuliko alivyokuwa mama yake (marehemu mchungaji Rwekatale), ana karibu kila aina ya deal ya kupiga hela hapa Tz (chafu na safi) ana maconnection mpaka ya kina Abdul (mtoto pendwa wa taifa), kwa sasa mwanamama anausaka ubunge kwa hali na mali ili kulinda himaya zake za kibiashara kupitia parliamentary and diplomatic status.

Popote alipo mbunge wa sasa (? Kunambi) aanze tu kuaga, kwa huyu mama atapotezwa vibaya.
 
Huyo ana uhakika wa kushinda kwa 90% kwa hii CCM, labda fitna za kukatwa majina zifanyike (kitu ambacho sikioni kikitokea). Kama ni kuhonga mwanamama ameonga sana na kama kujiandaa basi amejiandaa vya kutosha mnoo.

Huyo mama, pesa aliyomwaga kuhonga wanaCCM haijapata kutokea katika huu uchaguzi. Kama kuna mwanaCCM wa jimbo la Mlimba hajatafuna hela za huyo mama basi atakuwa na bahati mbaya sana.

Huyo mama ni mafia kuliko alivyokuwa mama yake (marehemu mchungaji Rwekatale), ana karibu kila aina ya deal ya kupiga hela hapa Tz (chafu na safi) ana maconnection mpaka ya kina Abdul (mtoto pendwa wa taifa), kwa sasa mwanamama anausaka ubunge kwa hali na mali ili kulinda himaya zake za kibiashara kupitia parliamentary and diplomatic status.

Popote alipo mbunge wa sasa (? Kunambi) aanze tu kuaga, kwa huyu mama atapotezwa vibaya.
Huyu kitakachomnyima ubunge ni kufa kabla ya muda kwa hali hiyo
 
Huyo ana uhakika wa kushinda kwa 90% kwa hii CCM, labda fitna za kukatwa majina zifanyike (kitu ambacho sikioni kikitokea). Kama ni kuhonga mwanamama ameonga sana na kama kujiandaa basi amejiandaa vya kutosha mnoo.

Huyo mama, pesa aliyomwaga kuhonga wanaCCM haijapata kutokea katika huu uchaguzi. Kama kuna mwanaCCM wa jimbo la Mlimba hajatafuna hela za huyo mama basi atakuwa na bahati mbaya sana.

Huyo mama ni mafia kuliko alivyokuwa mama yake (marehemu mchungaji Rwekatale), ana karibu kila aina ya deal ya kupiga hela hapa Tz (chafu na safi) ana maconnection mpaka ya kina Abdul (mtoto pendwa wa taifa), kwa sasa mwanamama anausaka ubunge kwa hali na mali ili kulinda himaya zake za kibiashara kupitia parliamentary and diplomatic status.

Popote alipo mbunge wa sasa (? Kunambi) aanze tu kuaga, kwa huyu mama atapotezwa vibaya.
Huyo mama atafeli tu
 
Huyu kitakachomnyima ubunge ni kufa kabla ya muda kwa hali hiyo
Ni kipande moja nzito ya mwanamama (hakosi presha au sukari), kajichubua ile balaa (wenyewe wanasema kuglow!), kwenye mission zake anakuwaga na sura ya kimafia mnoo, anaga masihara ya ovyo. Bahati mbaya sana hajui siasa, yeye anasema siasa ni pesaaa!

Uzuri mule bungeni hawaruhusiwi kuingia na chuma, lakini siku mtu kama huyo akifanikiwa kupenya nayo mule, kale kaspika ketu kakaleta kimdomo dhidi yake nina uhakika mwanamama anaweza kuvuta chuma na kumtungua pale pale.
 
Ni kipande moja nzito ya mwanamama (hakosi presha au sukari), kajichubua ile balaa (wenyewe wanasema kuglow!), kwenye mission zake anakuwaga na sura ya kimafia mnoo, anaga masihara ya ovyo. Bahati mbaya sana hajui siasa, yeye anasema siasa ni pesaaa!

Uzuri mule bungeni hawaruhusiwi kuingia na chuma, lakini siku mtu kama huyo akifanikiwa kupenya nayo mule, kale kaspika ketu kakaleta kimdomo dhidi yake nina uhakika mwanamama anaweza kuvuta chuma na kumtungua pale pale.
😅😅😅😅 Mama anatisha, huyo hafai hata kuwa mama mkwe wako.

Ila kwa sasa watauana sana ndani ya chama, naona vigogo wengi wamejipanga kupora viti vya watu.
 
Huyo ana uhakika wa kushinda kwa 90% kwa hii CCM, labda fitna za kukatwa majina zifanyike (kitu ambacho sikioni kikitokea). Kama ni kuhonga mwanamama ameonga sana na kama kujiandaa basi amejiandaa vya kutosha mnoo.

Huyo mama, pesa aliyomwaga kuhonga wanaCCM haijapata kutokea katika huu uchaguzi. Kama kuna mwanaCCM wa jimbo la Mlimba hajatafuna hela za huyo mama basi atakuwa na bahati mbaya sana.

Huyo mama ni mafia kuliko alivyokuwa mama yake (marehemu mchungaji Rwekatale), ana karibu kila aina ya deal ya kupiga hela hapa Tz (chafu na safi) ana maconnection mpaka ya kina Abdul (mtoto pendwa wa taifa), kwa sasa mwanamama anausaka ubunge kwa hali na mali ili kulinda himaya zake za kibiashara kupitia parliamentary and diplomatic status.

Popote alipo mbunge wa sasa (? Kunambi) aanze tu kuaga, kwa huyu mama atapotezwa vibaya.
True 100%
Mafia haswa..
 
Mwenyekiti wa Umoja wa Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk.Kellen-Rose Rwakatale amechukua rasmi fomu ya kugombea ubunge jimbo la Mlimba mkoani Morogoro.

Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu hiyo, Rwakatale amesema anayo dhamira ya dhati kulitumikia jimbo hilo la Mlimba kwani anazijua changamoto zake.

Rwakatale ambaye pia ni Mkurugenzi wa Shule za St Mary’s ndani na nje ya Tanzania amerejea maneno ya wazee ambao pia walimuita hivi karibuni kumtia moyo agombee amesema hana mashaka kwani amechukua fomu na kura zitaamua vema.

View attachment 3389285
Huyu ni ndugu na yule mama Rwakatale aliyefariki
 
Magari ya shule yake ya st.marys yalitumika kubebea washiriki wa mbio za mwenge ,

Ni limama la hovyo sana
 
😅😅😅😅 Mama anatisha, huyo hafai hata kuwa mama mkwe wako.

Ila kwa sasa watauana sana ndani ya chama, naona vigogo wengi wamejipanga kupora viti vya watu.
Huwezi amini, wanaume wote kimbelembele waliokuwa wananyemelea jimbo la Mlimba walishaufyata tangu mwaka juzi. Mbunge wa sasa Kunambi mpaka akaelekea kuchanganyikiwa na kwa sasa ni miongoni mwa watu wanaoichukia CCM kupita maelezo, kisa? Mwanamama jabali, mafia na mama pesaaaa anaitwa Rose.

Anasema hajaja Morogoro kucheka cheka na waluguru, wapogoro na wandamba amekuja kutimiza kusudi, na kusudi analo moyoni, taratibu tutamuelewa.
 
Masikini hawezi shinda ndani ya CCM ngazi ya Ubunge

Vijana masikini mtaishia kuwa machawa huku matajiri wakiendelea kuneemeka.
Sio kweli..CCM ni Hali sawa tu, jiamini chukua fomu mkuu
 
Magari ya shule yake ya st.marys yalitumika kubebea washiriki wa mbio za mwenge ,

Ni limama la hovyo sana
Kwani CCM kuna wanamama wa maana kwa sasa?
Tulia ni mtu wa maana?
Mama mkuu ni mtu wa maana?

To be honest, pamoja na yote, kwa CCM bora yake huyu. Kwanini?
Pesa zote alizogawa na anazawagawia wanaCCM ametoa mfukoni mwake kupitia deals zake anazochakalika huko na huko. Hachukui kodi zetu kama wale wengine kupitia nafasi zao wanavyoiba ili kuja kuzigawa ovyo.

Huu ubunge Rose anautafuta ili kulinda himaya zake, anajua nini wafanyabiashara na watu wasiokuwa na connection wanavyoteseka, kufirisika nk.

Rose pesaaaa ana kitu, atafika mbali!!!
 
Huwezi amini, wanaume wote kimbelembele waliokuwa wananyemelea jimbo la Mlimba walishaufyata tangu mwaka juzi. Mbunge wa sasa Kunambi mpaka akaelekea kuchanganyikiwa na kwa sasa ni miongoni mwa watu wanaoichukia CCM kupita maelezo, kisa? Mwanamama jabali, mafia na mama pesaaaa anaitwa Rose.

Anasema hajaja Morogoro kucheka cheka na waluguru, wapogoro na wandamba amekuja kutimiza kusudi, na kusudi analo moyoni, taratibu tutamuelewa.
Aina hii ya watu usithubutu kuwawekea kigingi utaenda na maji.

Nafsi zao huwa hazijisikii vibaya hata akikutoa upepo
 
Back
Top Bottom