ROse Ndauka duuh

tunategwa kila kona aisee.. sijui tutajinasuaje, hivi kuna umuhimu gani kutegana namna hii?
 
Kule kwa mfalme Mswati hata ukiyaacha wazi wala watu hawana shida nayo,tofauti na hapa kwetu watu wanaona ni dili kuwatega watu waone viwanda vya kunyonyeshea watoto.
 
hii kitu ukiipata unaisuguaaa hapo mbele kisha waisuguaaa hapo nyuma....bwahhahaha
 
acheni uzushi wenu hapa,kisebusebu na kiroho papo:hand:
 
...Nadhani ni Made in China. Wakati anaanza kucheza Michezo ya Kuigiza (Sio Sinema!) alikuwa na Embe Sindano tu kifuani na sio hizi Embe DODO!:wink2:
 
Haya jinasisheni/jitegeni tuuuu!!!
Kwa nini mwakubali kunasa???
 
So beautiful. Ila sidhani kama kwa ndani ni beautiful hivyo.

 
Hizo nyonyo hazina thamani kama hazijaweza kumnyonyesha mtoto...! Thamani ya hizo nyonyo ni kumyonyesha mtoto na kumkuza awe na afya njema, sio kutegea wanaume ili kuzidi kueneza UKIMWI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…