Kule kwa mfalme Mswati hata ukiyaacha wazi wala watu hawana shida nayo,tofauti na hapa kwetu watu wanaona ni dili kuwatega watu waone viwanda vya kunyonyeshea watoto.
Hizo nyonyo hazina thamani kama hazijaweza kumnyonyesha mtoto...! Thamani ya hizo nyonyo ni kumyonyesha mtoto na kumkuza awe na afya njema, sio kutegea wanaume ili kuzidi kueneza UKIMWI