PreGE2025 Rose Ndauka amekuwa msanii wa kike pekee aliyekataa uchawa na kuungana na wananchi kudai haki!

PreGE2025 Rose Ndauka amekuwa msanii wa kike pekee aliyekataa uchawa na kuungana na wananchi kudai haki!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Blessed Tajiri

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2023
Posts
221
Reaction score
659
Wakuu kwenye pita pita zangu nimekutana na post za msanii Rose Ndauka, ambapo ameweka wazi kuwa yeye hana chama, lakini pia yupo kwaajili ya kutetea Watanzania. Kwa wasanii wa kike Rose Ndauka amekuwa wa kwanza kusimama na wananchi na kuonesha wazi kutofumbia macho udhalimu unaofanywa.

Rose ameonesha kuwa msanii bila uchawa inawezekana, anaweza kuendelea kufanya kazi yake na kukemea pale anapoona mambo hayaendi vizuri sababu ana platform ya kufanya hivyo.

Huyu, Nay na wasanii wengine ambao wanajali kweli maslahi ya nchi hii wanatakiwa kuwa mfano wa kuwarudisha wa wasanii chawa kwenye msatari, tuendelee kuacha kuwasapoti wakose umaarufu wao hadi vichwa viwakae sawa.

Hizi hapa baadhi ya post za Ndauka...

1749631627237.png

1749631677799.png

1749631998244.png



 
Wakuu kwenye pita pita zangu nimekutana na post za msanii Rose Ndauka, ambapo ameweka wazi kuwa yeye hana chama, lakini pia yupo kwaajili ya kutetea Watanzania. Kwa wasanii wa kike Rose Ndauka amekuwa wa kwanza kusimama na wananchi na kuonesha wazi kutofumbia macho udhalimu unaofanywa.

Rose ameonesha kuwa msanii bila uchawa inawezekana, anaweza kuendelea kufanya kazi yake na kukemea pale anapoona mambo hayaendi vizuri sababu ana platform ya kufanya hivyo.

Huyu, Nay na wasanii wengine ambao wanajali kweli maslahi ya nchi hii wanatakiwa kuwa mfano wa kuwarudisha wa wasanii chawa kwenye msatari, tuendelee kuacha kuwasapoti wakose umaarufu wao hadi vichwa viwakae sawa.

Hizi hapa baadhi ya post za Ndauka...

Tumuombee sana
 
Wakuu kwenye pita pita zangu nimekutana na post za msanii Rose Ndauka, ambapo ameweka wazi kuwa yeye hana chama, lakini pia yupo kwaajili ya kutetea Watanzania. Kwa wasanii wa kike Rose Ndauka amekuwa wa kwanza kusimama na wananchi na kuonesha wazi kutofumbia macho udhalimu unaofanywa.

Rose ameonesha kuwa msanii bila uchawa inawezekana, anaweza kuendelea kufanya kazi yake na kukemea pale anapoona mambo hayaendi vizuri sababu ana platform ya kufanya hivyo.

Huyu, Nay na wasanii wengine ambao wanajali kweli maslahi ya nchi hii wanatakiwa kuwa mfano wa kuwarudisha wa wasanii chawa kwenye msatari, tuendelee kuacha kuwasapoti wakose umaarufu wao hadi vichwa viwakae sawa.

Hizi hapa baadhi ya post za Ndauka...

Beatuful and Smart Brains
 
Rose huwa ana akili zake hata kwenye maisha ya kawaida. Ukisimama kwenye haki, unatengeneza mazingira mazuri kwa watoto na wajukuu zako.

Ukisimama na wauaji, iko siku watoto au wewe kufanyiwa wanaofanyiwa wengine. Usiseme hayo hayanihusu, shetani huwa hana rafiki. Hongera sana Rose mwanamke wa shoka, kusimama na kile unachoamini.
 
Wakuu kwenye pita pita zangu nimekutana na post za msanii Rose Ndauka, ambapo ameweka wazi kuwa yeye hana chama, lakini pia yupo kwaajili ya kutetea Watanzania. Kwa wasanii wa kike Rose Ndauka amekuwa wa kwanza kusimama na wananchi na kuonesha wazi kutofumbia macho udhalimu unaofanywa.

Rose ameonesha kuwa msanii bila uchawa inawezekana, anaweza kuendelea kufanya kazi yake na kukemea pale anapoona mambo hayaendi vizuri sababu ana platform ya kufanya hivyo.

Huyu, Nay na wasanii wengine ambao wanajali kweli maslahi ya nchi hii wanatakiwa kuwa mfano wa kuwarudisha wa wasanii chawa kwenye msatari, tuendelee kuacha kuwasapoti wakose umaarufu wao hadi vichwa viwakae sawa.

Hizi hapa baadhi ya post za Ndauka...

Mkuu hauna huruma na wenzako au umetumwa na CCM ili wananchi wamuone msaliti? Tusipoangalia huyu mwanadada atakuja kutekwa na kupotea kabisa.
 
Back
Top Bottom