PreGE2025 Rose Ndauka amekuwa msanii wa kike pekee aliyekataa uchawa na kuungana na wananchi kudai haki!

PreGE2025 Rose Ndauka amekuwa msanii wa kike pekee aliyekataa uchawa na kuungana na wananchi kudai haki!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Rose huwa ana akili zake hata kwenye maisha ya kawaida. Ukisimama kwenye haki, unatengeneza mazingira mazuri kwa watoto na wajukuu zako.

Ukisimama na wauaji, iko siku watoto au wewe kufanyiwa wanaofanyiwa wengine. Usiseme hayo hayanihusu, shetani huwa hana rafiki. Hongera sana Rose mwanamke wa shoka, kusimama na kile unachoamini.
Kweli kabisa!
 
Rose huwa ana akili zake hata kwenye maisha ya kawaida. Ukisimama kwenye haki, unatengeneza mazingira mazuri kwa watoto na wajukuu zako.

Ukisimama na wauaji, iko siku watoto au wewe kufanyiwa wanaofanyiwa wengine. Usiseme hayo hayanihusu, shetani huwa hana rafiki. Hongera sana Rose mwanamke wa shoka, kusimama na kile unachoamini.
Safi sana.

Mungu ambariki Rose, na akubariki nawe pia. Nyote ni wanawake wa shoka hakika.

Napenda sana wanawake wanaojitambua, ambao ni wachache sana.

Wanawake wengi wakiona upuuzi kama unaofanywa na ccm huwa hawajali kabisa kama vile hayawahusu (japo naona ni impact ya mfumo dume), wao wapo busy kujiremba na kuvutia wanaume tu.

Ukiona mwanamke anazungumzia haki (si zile haki za kijinsia wanazopambania mafeminist) na kukataa dhuluma na unyanyasaji katika siasa na utawala, huyo ni lulu kwenye jamii.
 
Back
Top Bottom