Mawazo yangu
Member
- Sep 22, 2011
- 37
- 18
Nimekuwa nikisikia hiz habari za Mwigulu Nchemba kutajwa tajwa kuwa miongoni mwa wale wanaojitokeza kuwania urais wa JMT.
Sikuwa nazitilia maanan sana japo kuna watu walileta data za kuprove kuwa jamaa ana had baraka zote za Ikulu na kwamba anaandaliwa special kwa kaz hiyo.
Leo ndo nimeamin kwa hakika baada ya kuikuta hii DVD ikiandaliwa ,DVD iliyoimbwa na wasanii wa muziki wa injili wakiongozwa na Rose Muhando,na wengine wengi.
Nimeikuta ipo kwenye maandaliz ya mwisho na nyimbo zote zinamkampenia na kumsifia Mwigulu kuwa anafaa kwa nafasi ya Urais na imepewa jina la "Tuna iman nawe Mwigulu."
Kama ulitokwa povu na habari ya Bukuku kumuimbia Lowassa basi sasa ni wakati wako wa kupasuka kabisa
Sikuwa nazitilia maanan sana japo kuna watu walileta data za kuprove kuwa jamaa ana had baraka zote za Ikulu na kwamba anaandaliwa special kwa kaz hiyo.
Leo ndo nimeamin kwa hakika baada ya kuikuta hii DVD ikiandaliwa ,DVD iliyoimbwa na wasanii wa muziki wa injili wakiongozwa na Rose Muhando,na wengine wengi.
Nimeikuta ipo kwenye maandaliz ya mwisho na nyimbo zote zinamkampenia na kumsifia Mwigulu kuwa anafaa kwa nafasi ya Urais na imepewa jina la "Tuna iman nawe Mwigulu."
Kama ulitokwa povu na habari ya Bukuku kumuimbia Lowassa basi sasa ni wakati wako wa kupasuka kabisa