funluverx
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 480
- 342
Takriban miaka 5 iliyopita tulikuwa na uhusiano flani amazing ila ikatokea yakutokea tukaamua Kila mmoja wetu kushika hamsini zake.
'ROPOROPO' MFUKUA MAKABURI:
Nikiwa katika Shughuli zangu za Kila siku. Nakutana na Mteja mmoja. Mama wa makamo nilimfuata Ofisini kwake kupata huduma. Ana Ofisi binafsi licha ya kwamba ni Muajiriwa/Wakili wa Serikali.
Mama huyu (Namuita Roporopo) anaongea sana-ka' mwanaharakati wa Upinzani aliewekewa pingamizi, Basi ikatokea tume-click vyema Story zikawa Mobb hadi kunieleza kuwa awali alikuwa Ofisi Fulani maarufu hapa Dar baada ya kutaja Ile Ofisi.
Na muda aliokuwepo pale nikakumbuka X wangu ndipo alipokuwa anafanya Kazi lakini yeye X ni Mtaalam wa Computer. Nikamuuliza 'ROPOROPO' wangu Juhainah wa IT Dept. yupo? (Sio jina halisi la X wangu),
Nilifunguliwa Dibaji ya Mpenzi wangu wa zamani; Juhaina Sio shoga'angu ni Nyonyo. 'Mtoto' blablah kibao.
Paliponichonyota akaniambia tukio ambalo lilitokea Miezi 6 kabla hatujaachana. Nanukuu, "Unajua tukio la Mchumba wake yule wa kwanza lilimuumiza sana. Walivyopata ajali ujue ni Miezi 2 tu baada ya yeye kutolewa Mahari!?"
Mimi Hee!
Kweli?
Kumbe alitolewa Mahari? Mama (Roporopo) , "Sio Mahari tu, Vikao na Michango ilishapamba moto" Anaendelea mama, Huyu Bwana wake wa sasahivi anamsumbua sana huko Mwanza. Haipiti wiki lazima atanipigia Simu kulalamika.
Nikawaza,
Nakumbuka hilo tukio la ajali. Huyu binti X-wangu. Aliniambia alipata ajali ya Daladala kugongana. Kumbe ni wao na Bwana Ake (Mungu amrehemu) waligongwa kwenye Gari ndogo yake bwana.
Sikulijua hilo siku zote hadi tumeachana. Sasa wakati tunaachana na huyu mama,
Kakurupuka. Siunasema unafahamiana na 'Jojo' (Yaani X wangu) ?
Chukua namba yake hii hapa.
Sasa kutokana na taarifa zile za Usaliti wa Hali ya juu nilijenga chuki za ghafla kumbe nilikuwa mchepuko?
Sasa ni kawa na namba Mpya za X wangu lakini sikumtafuta.
Hee! baada ya siku mbili kumbe yule mama kamtafuta X wangu,
Sijui wameongea nini Ila mwisho amempa namba zangu upya X,
Na binti kunitafuta,
Nikikumbuka kuwa kumbe nilikuwa nafanywa Fala (Thanks to mama Roporopo) baada ya kujuliana Hali namuuliza X wangu;
Are you happy with the marriage? Anajibu. Not at all and I am coming to Dar this leave. Tukumbushie enzii,
Swali,
Nimfanyeje huyu Msaliti?
'ROPOROPO' MFUKUA MAKABURI:
Nikiwa katika Shughuli zangu za Kila siku. Nakutana na Mteja mmoja. Mama wa makamo nilimfuata Ofisini kwake kupata huduma. Ana Ofisi binafsi licha ya kwamba ni Muajiriwa/Wakili wa Serikali.
Mama huyu (Namuita Roporopo) anaongea sana-ka' mwanaharakati wa Upinzani aliewekewa pingamizi, Basi ikatokea tume-click vyema Story zikawa Mobb hadi kunieleza kuwa awali alikuwa Ofisi Fulani maarufu hapa Dar baada ya kutaja Ile Ofisi.
Na muda aliokuwepo pale nikakumbuka X wangu ndipo alipokuwa anafanya Kazi lakini yeye X ni Mtaalam wa Computer. Nikamuuliza 'ROPOROPO' wangu Juhainah wa IT Dept. yupo? (Sio jina halisi la X wangu),
Nilifunguliwa Dibaji ya Mpenzi wangu wa zamani; Juhaina Sio shoga'angu ni Nyonyo. 'Mtoto' blablah kibao.
Paliponichonyota akaniambia tukio ambalo lilitokea Miezi 6 kabla hatujaachana. Nanukuu, "Unajua tukio la Mchumba wake yule wa kwanza lilimuumiza sana. Walivyopata ajali ujue ni Miezi 2 tu baada ya yeye kutolewa Mahari!?"
Mimi Hee!
Kweli?
Kumbe alitolewa Mahari? Mama (Roporopo) , "Sio Mahari tu, Vikao na Michango ilishapamba moto" Anaendelea mama, Huyu Bwana wake wa sasahivi anamsumbua sana huko Mwanza. Haipiti wiki lazima atanipigia Simu kulalamika.
Nikawaza,
Nakumbuka hilo tukio la ajali. Huyu binti X-wangu. Aliniambia alipata ajali ya Daladala kugongana. Kumbe ni wao na Bwana Ake (Mungu amrehemu) waligongwa kwenye Gari ndogo yake bwana.
Sikulijua hilo siku zote hadi tumeachana. Sasa wakati tunaachana na huyu mama,
Kakurupuka. Siunasema unafahamiana na 'Jojo' (Yaani X wangu) ?
Chukua namba yake hii hapa.
Sasa kutokana na taarifa zile za Usaliti wa Hali ya juu nilijenga chuki za ghafla kumbe nilikuwa mchepuko?
Sasa ni kawa na namba Mpya za X wangu lakini sikumtafuta.
Hee! baada ya siku mbili kumbe yule mama kamtafuta X wangu,
Sijui wameongea nini Ila mwisho amempa namba zangu upya X,
Na binti kunitafuta,
Nikikumbuka kuwa kumbe nilikuwa nafanywa Fala (Thanks to mama Roporopo) baada ya kujuliana Hali namuuliza X wangu;
Are you happy with the marriage? Anajibu. Not at all and I am coming to Dar this leave. Tukumbushie enzii,
Swali,
Nimfanyeje huyu Msaliti?