Sambusa kavu
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 811
- 1,312
Wakuu wa hili jukwaa nakuja kwenu kuomba msaada...nimenunua huawei mate 8 mwezi uliopita ila mpaka sasa naona kama siifaidi vile maana nshazoea kuroot simu zote nitumiazo...naombeni msaada wenu jinsi ya kuroot hii simu....natanguliza shukrani zangu kwenu