Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Wadau, kuna vyumba kwa ajili ya Wanafunzi wa Tumaini University, Iringa. Ni umbali wa mita 200 tu kutoka chuoni, kila chumba ni self contained, kina maji na umeme. Kila chumba kina kitanda d/decker la 2.5ft (bila godoro) na kinachukua watu 2-3(kitanda kinaweza kuongezwa). Kuna resovoir tank la maji, uzio, na Mlinzi.
Kodi ni sh. 60,000/- per room paid on annual basis.
For Inquiries Call: 0719055711, 0787377511, 0768264320
Kodi ni sh. 60,000/- per room paid on annual basis.
For Inquiries Call: 0719055711, 0787377511, 0768264320