Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,730
- 536
Wadau, kwa wale wenye ndugu zao watakaojiunga na Chuo Kikuu cha Iringa [zamani Tumaini University Iringa], kuna vyumba vichache vinapatikana umbali wa mita mia tatu [300 meters] kutoka Chuoni.
Vyumba hivyo ni self contained, Umeme wa Luku, maji na tanki la kuhifadhi maji, Uzio na geti, pamoja na mlinzi.
Kwa mawasiliano zaidi, piga 0787377511/0719055711/0768264320.
Vyumba hivyo ni self contained, Umeme wa Luku, maji na tanki la kuhifadhi maji, Uzio na geti, pamoja na mlinzi.
Kwa mawasiliano zaidi, piga 0787377511/0719055711/0768264320.