Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 284
Wadau habari za ujenzi wa taifa.
Naombeni wataalamu wa mambo ya roofing na material yanayohusiana na roofing mnisaidie mambo yafuatayo;
1. Aina mbalimbali za roofing material, suitability na gharama zake
2. Faida na hasara ya kila aina ya paa e.g. bati za kawaida, bati za migongo mipana (aina tofauti tofauti), vigae (aina tofauti tofauti)
3. uimara wake pamoja na life span
4. Je kuna tofauti kati ya vigae vya Tanzania na vya kutoka nje e.g. South Africa, New Zealand etc
Nimecheki website ya Nabaki Africa naona hakuna details zozote za maana, ndo maana nimekuja hapa Home of Great Thinkers.
Naombeni wataalamu wa mambo ya roofing na material yanayohusiana na roofing mnisaidie mambo yafuatayo;
1. Aina mbalimbali za roofing material, suitability na gharama zake
2. Faida na hasara ya kila aina ya paa e.g. bati za kawaida, bati za migongo mipana (aina tofauti tofauti), vigae (aina tofauti tofauti)
3. uimara wake pamoja na life span
4. Je kuna tofauti kati ya vigae vya Tanzania na vya kutoka nje e.g. South Africa, New Zealand etc
Nimecheki website ya Nabaki Africa naona hakuna details zozote za maana, ndo maana nimekuja hapa Home of Great Thinkers.