Nashukuru Mkuu kwa taarifa, Kama usemayo ni ya ukweli basi huu ndio unaitwa Msimamo usio tikisika kwa namna yeyote ile...nampongeza sana kijana, namtakia mafanikio makubwa zaidi katika kazi na masomo yake.. Hawa ndio wanaharakati wanaohitajika katika hali tuliyonayo hivi sasa hapa nchiniMe naona jamaa yuko neutral, huo mstari kautumia tu kuonesha msimamo. Na kama anashabikia chama chochote ambayo ni haki yake kikatiba nahisi haoneshi kwenyew mziki wake. Nasema hivyo kwa sababu enzi za kampeni alikataa nyimbo zake zisitumiwe na Chadema wala chama chochote cha siasa
Anyway kuna kingine kinachonipa walakini hapa,..kuna tokea malalamiko siku za usoni kuhusu hawa clouds kuwatenda ndivyo sivyo wasanii wengi kwa kuwatumia katika matamasha yanayowaingizia millions of shs..kisha kuwatosa pasipo malipo sahihi yanayolingana na kazi yao...
1.Mara kadhaa sijaona clouds wakimsogelea,ni je wanamuogopa kutokana na msimamo wake?
2.Mara nyingi tunawasikia watangazaji wa clouds waliowasimulizi wa muziki wa hiphop wakiziongelea nyimbo zinazohit za hiphop,.mbona hawaisimulii hiphop iliyotukuka kutoka kwa huyu kijana?
Gwanda huyu jamaa ndio kama sare yake ya kazi.
Magwanda hata kabla hayajakuwa official Chadema wear yalikuwa ni mavazi ya wanaharakati wengi na wakombozi walopita. Baadhi Ya wankombozi waliotumia Au Kuvaa magwanda ni kama
1. Ernesto Che Guevara
2. Fidel Castro
3. J.K Nyerere (picha nyingi zipo)
4. Wapiganiaji uhuru wengi wa South Africa
Na wengine wengine wengi, so hii ni kama uniform ya wanaharakati nahisi ndio sababu ya huyu Kijana pia kuzitumia.
Pia Khaki Inaonekana kuwa ni kama vazi la Concious Artists wengi kama kina "Ice Cube", "Common", na wengine wengi.
Roma Mkatoliki Ni One The Most Realest MCs Kuonekana Tanzania Hii
Me Ni Mfuatiliaji mzuri wa swahili Hip Hop. Na kwa kumbukumbu zangu hawa clouds kuna kipindi wali-vow kuiangusha swahili hip hop, kipindi kile cha wagosi wa kaya, mapacha na wengine wengi. Cha kushangaza sasa hivi hip hop imerudi tena na kwa nguvu tena kutokana na uwepo wa medias nyingine nyingi, na clouds wanakumbatia wanahip hop wachache sana. Ukiimba concious Hip hop hawakutaki.
Now Back to Roma, huyu jamaa hawamzoei wanamuogopa kwa sababu watanzania wengi wamemkubali na haogopi kusema lolote. Kwa mfano kwenye moja ya nyimbo zake iitwayo "Mathematics" kule ndani kampaka Ephraim Kibonde. Mstari unasema ".... Kibonde wewe ni member wa Loan Board au TCU???" Hii ni kutokana na Kibonde kuzngumzia mkopo kuwa wanafunzi wanautapanya.
Puppy hembu ngoja kwanza, roma alipouliza kibonde ni member wa loan board ama TCU amemaanisha nini hapo?? au ndio kejeli kwa elimu ya kibonde ambayo haijafikia kiwango cha kuchangamana na hizi bodi?
Anyway kuna kingine kinachonipa walakini hapa,..kuna tokea malalamiko siku za usoni kuhusu hawa clouds kuwatenda ndivyo sivyo wasanii wengi kwa kuwatumia katika matamasha yanayowaingizia millions of shs..kisha kuwatosa pasipo malipo sahihi yanayolingana na kazi yao...
1.Mara kadhaa sijaona clouds wakimsogelea,ni je wanamuogopa kutokana na msimamo wake?
2.Mara nyingi tunawasikia watangazaji wa clouds waliowasimulizi wa muziki wa hiphop wakiziongelea nyimbo zinazohit za hiphop,.mbona hawaisimulii hiphop iliyotukuka kutoka kwa huyu kijana?
Anyway kuna kingine kinachonipa walakini hapa,..kuna tokea malalamiko siku za usoni kuhusu hawa clouds kuwatenda ndivyo sivyo wasanii wengi kwa kuwatumia katika matamasha yanayowaingizia millions of shs..kisha kuwatosa pasipo malipo sahihi yanayolingana na kazi yao...
1.Mara kadhaa sijaona clouds wakimsogelea,ni je wanamuogopa kutokana na msimamo wake?
2.Mara nyingi tunawasikia watangazaji wa clouds waliowasimulizi wa muziki wa hiphop wakiziongelea nyimbo zinazohit za hiphop,.mbona hawaisimulii hiphop iliyotukuka kutoka kwa huyu kijana?
pole kama hujapata ujumbe toka kwake au kama sio wewe ni gamba maana magamba hawajifunzi mazuri na mema hata siku moja
Wasanii mambumbu ndio wanaosifiwa na clouds tu,wenye akili wote hawawaongelei kabisa.
jina na avatar yako vimefanana na vilivyo ubongoni mwako