Roho zinawauma CCM inavyozidi kujiimarisha kileleni

Roho zinawauma CCM inavyozidi kujiimarisha kileleni

Mr Emmy

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2012
Posts
1,219
Reaction score
550
Imebainika kwamba Roho za watu wasio itakia mema CCM kwa sasa zinawauma baada ya chama hicho kuendelea kujiimarisha kushika Dola la Tanzania. Mkutano wa CCM Taifa umemalizika jana kwa mafanikio makubwa huku ukiacha huzuni na majonzi makubwa kwa CHadema.

Hotuba za kusisimua kutoka kwa Rais JK na Rais Mtarajiwa JPM ( John Pombe Magufuli ) zinaashiria amani, neema na ushindi kwa CCM katika chaguzi zijazo. Hata wapinzani Pia Mbowe na Shibuda kwanyakati tofauti tofauti katika hotuba zao wameonekana kukoshwa na Kasi ya CCM ya JK na Magufuli katika kufanikisha gurudumu la maendeleo ya nchi yetu. Hakika Roho zitawauma zaidi na zaidi kwani huo ni mwanzo tu .

Mungu Ibariki Africa, Mungu Ibariki Tanzania

 
Imebainika kwamba Roho za watu wasio itakia mema CCM kwa sasa zinawauma baada ya chama hicho kuendelea kujiimarisha kushika Dola la Tanzania. Mkutano wa CCM Taifa umemalizika jana kwa mafanikio makubwa huku ukiacha huzuni na majonzi makubwa kwa CHadema.

Hotuba za kusisimua kutoka kwa Rais JK na Rais Mtarajiwa JPM ( John Pombe Magufuli ) zinaashiria amani, neema na ushindi kwa CCM katika chaguzi zijazo. Hata wapinzani Pia Mbowe na Shibuda kwanyakati tofauti tofauti katika hotuba zao wameonekana kukoshwa na Kasi ya CCM ya JK na Magufuli katika kufanikisha gurudumu la maendeleo ya nchi yetu. Hakika Roho zitawauma zaidi na zaidi kwani huo ni mwanzo tu .

Mungu Ibariki Africa, Mungu Ibariki Tanzania


upo katika kundi gani ndani ya CCM?
 
Kweli nimemkubali yule muimbaji wa super virunga. "jua maisha ni mlima" yaani kauli za viongozi wa upinzani ndio leo hii zimekua mtaji wa kisiasa wa viongozi wa chama dume la mbegu. Tena viongozi wakuu na waandamizi.
 
Ile movement yenu ya kupinga viongozi wa uvccm ilifia wapi??
Je, kwenye uchaguzi wenu wa jana Chadema walipiga kura pia??

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
maoni ya ngu ni haya
eeeer....sent from BlackBerry, sent from Semsung Digital model, sent from Nokia 121230, sent From Chinesse Iphone aka buruaaa, sent fron nanihino majidude ya two sousend endi twelve..but most of all sent from me.. CCM BYEEEEEE!!
 
duh unajikosha kwa maji ya kata CCM inajiimarisha kwani ilishakufa
 
CCM imeimalika kivipi ndugu? Mwenyekiti kabadirika? sababu kudhoofika kwa CCM kulitokana na udhaifu wa kiongozi mkuu wa Chama chenu kama mmebadilisha kiongozi mkuu basi naamini kweli CCM imeimalika.
 
Pamoja na kutokubaliana na wewe juu ya Mzee Pombe, nakiri kwamba CCM ni cheboko yawo!
 
Air time ya bure tu ndo mlichofaidi,hakuna jipya miaka saba bado mnatoa ahadi.. na mgao wa umeme umerudi subirini kiamachenu
 
Naona umeisha anza kazi yakujibu mapigo ya wapinzania kama mlivyo tumwa na mwenyekiti wenu,
 
CCM haijaimarika chochote. Watanzania ndio bado wako (mi simo) usingizini. Usingizi mzito!

Madness!
 
Nijuavyo mimi Chadema hatuwezi kuumia kwa CCM kupanga safu yake ya uongozi ktk chama chake na kwakweli hili si tatizo ambalo chadema wanahitaji kuumia nalo maana chadema wanaumizwa na ubakaji wa demokrasia,Uvunjifu wa haki za raia na kasi ya maendeleo kuwa ndogo ka hasa Ufisadi ambao CCM ndio waasisi wake...!!

Kitu ninachoweza kukumbusha ni kuwa CHADEMA ni chama makini sana Tz na ndiyo maana kila MwanaCCM anapotamka kuwa anaweza kupambana na CDM wenzake humshangilia kwa nguvu sana na hiyo ni barua kuwa wanakosa usingizi kila wanaposikia CDM ipo walipo.

Jambo jingine ni kuwa Unapoona CCM kila wakifanya jambo wanajipima kwa kusikiliza CHadema wanasema nini hii pia ni ujumbe mahususi kuwa chadema ndiyo kila kitu kwa ujenzi na ustawi wa demokrasia na maendeleo ya nchi na ili wao kuendelea kuwapo Ikulu ni pamoja na kuhakikisha kila wazo la Chadema wanalifanyia kazi...!

Mkuu kwa kweli jambo jingine ni kutumia sera za chadema ktk kuendeleza nchi na wakati mwingine wanashindwa kuwa wabunifu kwa kuwa ni wezi wa mawazo ya chadema...!hakuna wa kuumia Roho juu ya CCM kufanikisha kupata viongozi wao maana wanajua kinachofuata kwa Chadema ni kuunda uongozi usiotikisika hata chembe...!endeleeni kujipima kupitia chadema ili 2014 na 2015 tukutane kwenye chaguzi za serikali za mitaa na baadae Uchaguzi mkuu.
 
Ccm imejiimarisha kwa kujifunza njia mpya ya kugawa rushwa na
 
uchaguzi wa madiwani arusha ni lini?tusiandikie mate wakati wino upo!
 
Hivi we dada emmy kwanini huwaga ukiandikaga huna cha maana ni shule ndogo au ndo ubongo wako umewazima watu
 
Back
Top Bottom