Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,845
- Thread starter
- #61
Hili tatizo ni kubwa na komavu na litaenda mpaka kizazi cha tatu au cha nne... Wewe ndio umeinuliwa kuikomboa familia na damu chafu kazi kwakoAsili ya kina baba zangu ni malaya malaya hv!wanazaa watoto na kutelekeza !kwangu mimi ni tofauti kidogo!japo napenda niwe na wake wengi !naona mmoja hanitoshi najali sana wanangu!lakini Dogo ana watatu,wawili katelekeza!!!Alikua hataki kuondoka kwangu eti akae alinde mali zangu!!nikaona uchawi huu nikamtimua akakafanye kazi alee familia yake!yeye hataki!!!kivumbi ndio hapo sasa!!!